Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

Mkuu

mim nadhan inatokana na kudekezwa, ni sawa wale wanaopenda kunyonya vidole, muda wote mkono upo mdomoni.

Mtoto mwenye tabia hzo hasipokemewa utotoni, anaendelea na tabia hiyo hadi ukubwani
Inawezekana kweli! Ila mimi naona ni tatizo la kisaikolojia.
 
1.Kunusa baadhi ya maeneo ya mwili wako kuona kama yanatoa harufu!, mara nyingine unajikuna kisha unapeleka mkono puani kuona ni harufu gani utaskia.

2. Kuigiza kama unafanyiwa interview. Unajiuliza maswali kadhaa na kujijibu kwa kujiamin huku unatabasamu kana kwamba kuna mtu anakuona.

3. Kutoa uchafu puani kwa kutumia kidole kwa dakika kadhaa, na mtu akitokea ghafla, unajidai unakuna shavu!

4.Kula haraka haraka kwa kificho (tunda, kitafunwa nk) ofisini, nyuma ya mlango nk na kujifuta mdomo ili asigundue mtu!

5. Kutengeneza Sura mbalimbali mbele ya kioo na kuangalia unaonekanaje!



6 Kutoa Hewa chafu kwa sauti (Farting Loud). Hii hairuhusiwi kwenye jamii yetu!

7.Kutoa Haja ndogo wakati wa kuoga

8 Kufanya baadhi ya vitu kwa kutumia miguu badala ya mikono! Kufunga mlango au Kuokota vitu kwa kutumia vidole vya mguuni

9. Kula paketi nzima ya chakula Fulani ambayo pengine ungekula kwa siku kadhaa taratibu




Tuambie ni nini huwa unafanya ukiwa mwenyewe hapo chini
Kupigia simu milupo
 
uko na kibunda cha manoti umetumwa na mdosi ukaziweke kwenye benki na kisha uko na hela ya usafiri umeiweka pembeni ila ukikaanisha na mtoto mzuri kwenye daladala lazima kwanza utoe kile kibunda unajifanya kama vile unatoa noti ulipie usafiri.....
 
Back
Top Bottom