Chonde Chonde JF irudishe heshima, hii nini sasa? Ukiukaji wa maadili usio na heshima, matusi yasiyofaa, ni nini anachotaka kumpa huyu mzee? Mbona kafupisha? Hata akifupisha, akili ya kawaida tu, inaelewa, na kuleta kichefuchefu. Threads za mtindo huu, hazifai JF.Kisasi cha nini? Akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia.
ikifika hapo ndipo SIWAAMINI KABISA WANAWAKE na haki SAWA ZAO, Hivi tujiulize kifikra hawa watu wapo sawa kweli alafu tuwape uongozi watuongoze?. Si mnawaona waliopo madarakani Visasi visasi visasi. Mwanamke anaweza kuazimia kumkomoa/kulipa kisasi mtu mmoja hata kama itagharimu mfumo mzima wa utumishi na elimu.
Sio wanawake wote, wapo wengi wana akili mara nyingi ya huyu, lakini huyu, anatisha, na hafai, haya aliyopanga, hayafai hata kuyafikiria, wacha kuyaandika, kuyapanga na hatimaye kuyatekekeza.Kweli wanawake akili zenu maji, tena maji ya matopeni. Hivi nikuulize swali, huo mwili si wako? Hiyo "K" si mali yako? Sasa ukimpa baba yake hiyo "K" yako unamkomoa nani? Kwani wewe ni mwanamke wa mwisho hapa duniani na hakuna wengine? Huyo kijana aliyekuwa mpenzi wako sidhani kama atajali sana sababu atapata mwanamke mwingine wa kuishi naye na wewe pia utapata mwanaume mwingine wa kuendelea nae. Kitu kibaya tu ni kwamba utakapotuma picha za baba yake akiwa uchi, jiandae kwenda kunyea "debe"(kumbuka sheria ya makosa ya kwenye mtandao).
Eti, dawa ya moto ni moto, hivi kumbe mkiwapa watu wengine "K" zenu kwenye akili zenu mnafikiri mnawakomoa wapenzi wenu?? Sasa huyo mpenzi wako akiamua kufunga ndoa na huyo rafiki yako na wewe utafunga ndoa na baba yake? Au utaishia kumpa baba yake "K" yako aichezee tu? Kati ya wewe na huyo kijana ni nani mwenye hasara hapo???
Wanawake akili zenu bure kabisa!
Pambafu! Unataka kumuingiza mzee kwenye ujinga wenu?Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Hawezi kutumwa na mungu akafanye ushetani, kutumwa na shetani mwenyewe, akamfanyie kazi yake.Mungu ...Mungu naskia umemtuma.mtu akafanye ushetan na bab mkwe .wake.
Munhu yupiiiii?jamniii
Kumbe ndiyo maana siku hizi kutongoza imekuwa kazi rahisi sanaNimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
no hainiumi kitu dada just being open minded wala hainihusu just speak my mind coz in the end kila mtu ana na ni wajibu wa mtu binafsi kujitambua na kufanya mabaliko positive about yeyewe kinakuuma nini fanya na wewe ukiwe
Acha kumsema NdalichakoKisasi cha nini? Akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia.
ikifika hapo ndipo SIWAAMINI KABISA WANAWAKE na haki SAWA ZAO, Hivi tujiulize kifikra hawa watu wapo sawa kweli alafu tuwape uongozi watuongoze?. Si mnawaona waliopo madarakani Visasi visasi visasi. Mwanamke anaweza kuazimia kumkomoa/kulipa kisasi mtu mmoja hata kama itagharimu mfumo mzima wa utumishi na elimu.
Hapo unajikomoa mwenyewe na kujishusha hadhi na kuwa malaya asiye na staha....Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.