Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Can you imagine CCM ruling Tanzania for another five years? I get goose bumps when I try to do that.
Yaani tuendelee na hali hii kwa miaka mitano zaidi? Yaani hali ya wizi mkubwa wa fedha za umma kila baada ya siku chache, mauaji ya ndugu zetu albino, chuki na hata mauaji ya kidini viendelee?
Haiwezekani tuendeee na hali tuliyonayo sasa. Lazima mabadiliko yaje. Hata viongozi wengi wa CCM wanalijua hili. Wanaogopa kutoka CCM kwani wanakifahamu vizuri chama chao. Wanaogopa kuuwawa. Ni waoga.
Yaani tuendelee na hali hii kwa miaka mitano zaidi? Yaani hali ya wizi mkubwa wa fedha za umma kila baada ya siku chache, mauaji ya ndugu zetu albino, chuki na hata mauaji ya kidini viendelee?
Haiwezekani tuendeee na hali tuliyonayo sasa. Lazima mabadiliko yaje. Hata viongozi wengi wa CCM wanalijua hili. Wanaogopa kutoka CCM kwani wanakifahamu vizuri chama chao. Wanaogopa kuuwawa. Ni waoga.