Lazaro Nyalandu, kinyongo cha Uwaziri kitakuponza

Lazaro Nyalandu, kinyongo cha Uwaziri kitakuponza

Hv hayo magazeti unayonukuu si ndo mnayafungiaga kwa uchochezi? Sijaona unukuu vile vipeperushi vyenu
 
CCM angalieni hawa vijana wenu hii mehemko yao ya Kuja kujibu watu ovyo kisa tu wamewaona wapo na wapinzani itawakost msidhani mchezo mliomchezea lowasa time hii mtaweza tena kuwa hata wakikimbia CCM bado CCM itadumu tu mbona Lowassa aliondoka tukapeta

Someni alama za nyakati walikuwa wanamuwekea uzibe lowasa ndani ya chama wote wamejeruhiwa wanatamani hata leo hii mrudi Jk conference center kuchagua mgombea mpya sema ndio hivyo mda si rafiki tena

Nini sasa nataka kusema vijana wa CCM chungeni ndimi zenu hao viongozi wenu mnaowasemea kimchuano wa siasa ni wadogo sana so angalieni maneno maneno yenu yasije watibua hawa kina nyarandu wakasepa na kijiji itakula kwenu
 
Kama ni Roho mbaya basi hamzidi DAB aliyevamia vyombo vya habari, hakutaka kuomba hata radhi. Ubinadamu kwanza mengine baadae Lissu na Nyalandu wote wanatoka mkoa mmoja wenye matatizo yanayofanana so ulitaka polepole aende badala yake?
 
Timing yako ni mbovu.
Uteuzi wa mwaka 2015 bandiko lako linahusisha mambo ya 2017.
Lazaro anaweza kuwa si kiongozi bora or vyovyote ila kwa hili bandiko ni wazi kuwa wewe ndio una kinyongo na maisha ya mwanaume mwenzio
 
Hii post imeletwa kwenu kwa hisani ya ziara ya nyalandu to nairobi
 
IMG_20170906_202709.jpg
 
Viongozi wa CCM wamepigwa Risasi Kibiti walikuwa wanafurahia sana, sijaona Chadema walaani Matukio yale, wala barua ya Pole, Chadema ndiyo waumini wa mpinzani wako ni adui yako. Shame on you Na povu lenu
Umeshasahau walikataza kuzungumzia masuala ya Kibiti?
 
Nyalandu ni mbunge wa mkoa wa Singida ambao na TL anatokea huko huko, nyie mnawaza kadaresalaam daresalamu na kipolepole tu! Alafu mnaendelea kujidanganya kuwa kwa roho hizi mbaya tutafanikisha kujenga viwanda.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , ndy kijana Msomi huyu wa Sheria.!!!
Personal Attacks za nn hapa JFs???!!!

Msomi wetu wa Sheria, plse punguza wivu, chuki na hasira kw Hon L N, na hamna sababu ya kmhusisha mdogo wake Hon hapo ktk hoja yako iliyosheheni chuki binafsi.
Usimwangushe rafiki yako.
 
Haya yote yanajitokeza leo kwa vile Nyalandu amekwenda kumsalimia mgonjwa ambaye amepigwa risasi kwa kuamini katika mawazo yake na kuyasema hadharani, siyo? Siku ya hukumu yake, Mungu anatakuwa na kazi bubwa ya kuamua! Mwisho ulivyozidi kuchelewa, siku ya mwisho kunaweza kusiwe na binadamu kabisa. Kwamba upande wa mauaji (shetani) una mashabiki wengi hivi inasikitisha.
 
Nanuie mbona ya kibiti mlinyamaza kwanza ya lissu ni kazi ndani ya cdm msitake kubebesha kawama watu wengine
Ilitakiwa wewe upigie Kelele ya Kibiti maana Wengine wamechagua ya LISU Jinga kabisa mnataka kuchaugulia watu cha kuongea?
 
Acha hila ,,jamaa yuko poa tatizo ni kwamba hana mambo ya kise... Kuunga mkono upuuuzi wa sisiem
 
Huyu waziri ni kibaka na anatakiwa naye akutanishwe na mkono mchungu wa sheria. Hatuwezi kulea vibaka na vibaraka wa weupe
 
Umasikin nini
Umaskini ni pale flan ambae ana hela ana mke ana furaha ana gari ana nyumba na bado mbunge na mtu baki huna maisha mazuri unakaa unapewa vijisent au roho mbaya yako mwenyewe unaanza kumdiss mtu ambae ww sio mbunge wako

Cha mwisho waza sana kuhusu maisha yako na family yako
Kumuwaza mtu ambae humsaidii au hakusaidii ni umaskini

Fikiria zaid na fikirisha ubongo wako
 
Back
Top Bottom