<br />Huyu ni bongolala siku zote sijui hata hiyo Phd kama aliipata kihalali. Amekuwa ba arguments na decisions A kitoto siku zote. Angalia hata suala la Richmond kama kiongozi wa tume alilaswa kushirikisha parties zote ipasavyo wakati wa probbing lakini alikurupuka na kutia findings zenye taswira ya chuki za kitoto na kimbulula. Chama anawezaje kufuta wakati uanzishwaji wake ni wa utaratibu wa wanachama uliofuatwa na kutambulika kisheria. Zero brain. Shame upon him!!! Mbulula[/QUOTE][quote uid=13443 name="Bujibuji" post=20203823]Dr. Mwakyembe amefanya haya.<br />LISU ASIWE MGOMBEA WA TLS...AKASHINDWA.<br />AKATAKA KAFUTA CHAMA WA WANASHERIA TANGANYIKA...AM<br />ESHINDWA.<br />AKATAKA UCHAGUZI WA TLS UAIRISHWE AKASHINDWA.<br />AKAPELEKA KESI MAHAKAMANI KUBADILI VIFUNGU VYA TLS...AKASHINDWA.<br />AKATAKA WATU WASIOE BILA VYETI VYA KUZALIWA...AKASHINDWA...<br />HUYU NDIO WAZIRI WETU SHERIA NA KATIBA.
Unajua nae Advance alifeli ikabidi akapige uandishi wa habari kidogo kama miaka mitatu ndo akapanda chuo si ajabu nae kapandia cheti cha mtu LLB