FBI imara ndio USA imara,TISS imara ndio Tanzania imara, shirika letu hili la kijasusi kuna sehemu lilichukua wrong turn, respect waliokua nayo imepotea na sasa wanaonekana wa kawaida tu, the way forward hapa tunahitaji katiba mpya ambayo itavifanya vyombo hivi viwajibike Bungeni na sio Magogoni au Lumumba street, CEOs wake watafanyiwa usaili na bunge na President hatakua na mamlaka ya kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila bunge kushirikishwa, pia katiba mpya itatupa taasisi itakayokuwa ina waratibu hawa Tiss kuona wanafanya kazi zao kisheria, pia police tutapata IPID ambao ni kama MPs wa Jeshi