Wote ni wa kulaumiwa, Kuna kijana mmoja mke wake kajifungua, akaja mdogo wake na mke wake (Shemeji) kuja kumsaidia mzazi. Na yeye katiwa MIMBA. Je hapo nani alaumiwe?
Eh huyo sasa hata sijui unafanyaje? Ina maana eh hata siweziuliza kusema ukweli!.
Ni heri kuyasikia kuliko kuyashuhudia.
Na ni heri kuyashuhudia kuliko kuyafanya
Hujambo mpenzi?
Dreamliner ina maana wamejifungua mapacha wote?? Eh wanaume wengine wanatutafuta ubaya!!Huyo mdogo mtu kagoma kabisa kuondoka,,,, Hivyo jamaa anatunza mtu na mdogo wake.... Hivi ninapoingia mitamboni, Wote wawili wana watoto wawiliwawili.
Hivi CHauro, wewe ni mzuri kama hiyo avatar yako au ndiyo yaleyale??hivi kwanini!!!!!!!!!!................................kuna mambo ukisikia hata kuongea huwa unashindwa.
Nijibu PM yangu basi, tukutane wapi tuzitendee haki bia? Mambo ya kuumiza akili kwa mawazo wakati kuna vituliza mawazo vimejaa tele........salama babu mwenzio nawaza saa ngapi kazi inaisha tukafurahie lijumaa siitaki kabisa kusikia dhahama za hii dunia... leo nikujifyonza kwa kwenda mbele na hichi kijua acha kabisa.
Dreamliner ina maana wamejifungua mapacha wote?? Eh wanaume wengine wanatutafuta ubaya!!
=Ningeshanga sana kama dadangu mbea kama wewe ungekosekana kwenye hii sredi.
Hujambo my luvly sis? Mie akumiss mpaka atoka jasho mdomoni.
Dreamliner ina maana wamejifungua mapacha wote?? Eh wanaume wengine wanatutafuta ubaya!!
MwwwaaaH........ kamata hiyo kama bakshishi yako ya weekend.........=
hahhahaha mie dadako ni mbea/mnoko but ninachofurahi bado unanipenda saanaa 2.....cjambo my bro, naona MJ1 anataka kutuharibia wkend sasa na wkend yenyewe tamu hii, mifuko imenona, hanywi mtu mbege....mwendo wa ngano tu...hahahahah! mwaahhhh
Hivi CHauro, wewe ni mzuri kama hiyo avatar yako au ndiyo yaleyale??
Maana kuna demu kanichanganya kwenye simu, kuja kumuona nilikimbia kuliko mwizi
hebu sema neno moja tu.... je umefanana na avatar yako?
Khee! mate, ngoja niangalie anga nyingine. Hii naona ishakula kwangu mazima!Hivi CHauro, wewe ni mzuri kama hiyo avatar yako au ndiyo yaleyale??
Maana kuna demu kanichanganya kwenye simu, kuja kumuona nilikimbia kuliko mwizi
hebu sema neno moja tu.... je umefanana na avatar yako?
Miaka mitano?? Nilidhani ni ishu ya mwezi au miezi?! .................. ehHapana! Mmoja mmoja... Wako wote karibu miaka mitano...
Nijibu PM yangu basi, tukutane wapi tuzitendee haki bia? Mambo ya kuumiza akili kwa mawazo wakati kuna vituliza mawazo vimejaa tele........
y lawama kwa mwanaume hapo, huyo mdogo yeye msafi?
Sasa mbona hujibu PM yangu bana, twenzetu tukapiga maulabu, raha tujipe wenyewe banaaaaa!umeonaeeee???? leo matabasamu kazi yake................ MJI ameshahau siku lenyewe fridaaaaaaaay hali ya hewa bwererere halafu mfungo wa tisa leo.
Sasa mbona hujibu PM yangu bana, twenzetu tukapiga maulabu, raha tujipe wenyewe banaaaaa!