nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Kweli tunapitia nyakati ngumu na kweli kuna wakati ulinisaidia salio kidogo nikanunua LUKU lakini msaada huo uliambatana na masimango.
Naam na kwa kumbukumbu zangu baada ya hapo si kwamba nilikutupa... la hasha nilikuwa pamoja nawe katika shida mbali mbali,,,,
Pamoja na hayo bado unaona haitoshi kila kunapokucha ni lawama kwamba ..''Jamaa siku hizi anajisikia sana,,,anajifanya ana hela....
Nikipiga hesabu ni dhahiri misaada niliyokupa inazidi sana ile hela yako ya LUKU uliyonipa kwa masimango ambayo wewe umeitumia kama silaha ya kunichapia na kunisimangia kwa watu.
Daah! kuishi na watu ni kazi,,,,,
Kuna mdau huku anasema......Job True true....
Naam na kwa kumbukumbu zangu baada ya hapo si kwamba nilikutupa... la hasha nilikuwa pamoja nawe katika shida mbali mbali,,,,
Pamoja na hayo bado unaona haitoshi kila kunapokucha ni lawama kwamba ..''Jamaa siku hizi anajisikia sana,,,anajifanya ana hela....
Nikipiga hesabu ni dhahiri misaada niliyokupa inazidi sana ile hela yako ya LUKU uliyonipa kwa masimango ambayo wewe umeitumia kama silaha ya kunichapia na kunisimangia kwa watu.
Daah! kuishi na watu ni kazi,,,,,
Kuna mdau huku anasema......Job True true....