Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Wale wanasheria watarajiwa wajiandae kisaikolojia ,Tarehe 14-5-2016 saa nane Mchana ,Mjiandae tu maana watakaofaulu ni 6% ya wote mlofanya exams,Yaani approximately kati ya wanafunzi 480 waliofanya final only 54 ndio watakaoapishwa mwezi june.
My take:- Kufanikiwa maisha si lazima uwe wakili.
My take:- Kufanikiwa maisha si lazima uwe wakili.