Law School ni jipu

Kwa hiyo hizo awamu tatu zinahitimu kila moja baada ya miezi minne au?
NI KAMA MITANO HIVI, WANATOKA DARASANI KWENDA PRACTICAL TRAINING: MAARUFU KAMA CLINICAL LAW, NJE YA DARASA. WAKATI HAWA WAKIWA PRACTICAL WENGINE WAPYA WANAKUWA DARASANI. MAMBO NI YA KAWAIDA TU PALE.! UNAKAMATWA, UNARUDI UNAKAA CHINI, UNAGUNDUA ULIPOKOSEA KIMBINU AU KIMAUDHUI HALAFU UNARUDI TENA. KWA UZOEFU WANGU MIMI HAONEWI MTU HAPO!
 
Alternative ya Law School ilikuwa ni kufanya Petition kwa CJ moja kwa moja ambapo screening ilikuwa ni ile ile! Acha kulilia goal post iongezwe upana bali fanya mazoezi ili ufunge magol!
Ama kweli hizi shule za kata ni tabu tupu; umeambiwa jibu hoja, toa solution badala yake unatema pumba. Jibu hoja ilioko mezani acha kuleta ujuaji; kwa hiyo wingi wa vyuo ni kupanua uwezo wa chuo ni kupanua magoli? au ufinyu wako wa kuelewa hoja ndio werevu wako? Hakuna mtu analia hapa; nimeongelea niliyoyaona kwenye gazeti kama malalamiko yale ni kilio cha bure lete suluhisho
 
Pass rate ni zaidi ya 15% ila pia mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya wanafunzi wa hapa na huko ulikotaja.
,

Kuna utofauti gani?
Wakati kuna watoto kama 5 hivi nawafahamu,
Wawili wamesoma Juris Doctor Harvard,
Wawili moja mpaka sasa anasoma Sydney Law School,
Kuna moja ametoka SAUT kasoma LLM London School of Economics na masters yake wamei upgrade imekuwa PhD,
Na huyu wa mwisho kasoma masters Columbia University na naambiwa alikuwa one of the best kwenye matokeo ya mwisho.

Chuo chenu cha Mlimani ndicho kinaharibu hii nchi pamoja na Old Boys Network,
Hovyo kabisa.
 
,

Kuna utofauti gani?
Wakati kuna watoto kama 5 hivi nawafahamu,
Wawili wamesoma Juris Doctor Havard,
Wawili moja mpaka sasa anasoma Sydney Law School,
Kuna moja ametoka SAUT kasoma LLM London School of Economics na masters yake wamei upgrade imekuwa PhD,
Na huyu wa mwisho kasoma masters Columbia University na naambiwa alikuwa one of the best kwenye matokeo ya mwisho.

Chuo chenu cha Mlimani ndicho kinaharibu hii nchi pamoja na Old Boys Network,
Hovyo kabisa.

Hilo silikatai, kwa aliyesoma nje still siyo guarantee ya kufaulu ingawaje kuna maeneo watakuwa wazuri zaidi. Kwani kuna baadhi ya mambo ambayo yamebase katika uelewa wa municipal law zaidi. Siyo vizuri kutaja majina ya watu ila just imagine Dr Pius Ng'wandu pamoja na kuwa Chief Parliamentary Draftsman kwa muda mrefu still alikamatwa!
 
Hilo silikatai, kwa aliyesoma nje still siyo guarantee ya kufaulu ingawaje kuna maeneo watakuwa wazuri zaidi. Kwani kuna baadhi ya mambo ambayo yamebase katika uelewa wa municipal law zaidi. Siyo vizuri kutaja majina ya watu ila just imagine Dr Pius Ng'wandu pamoja na kuwa Chief Parliamentary Draftsman kwa muda mrefu still alikamatwa!

Kwa hiyo hao maprofessa waliosoma LLB hapo UDSM hawako vizuri kama watu waliosoma JD Harvard?
Nataka nikuelewe kwenye hili?
 
Kwa hiyo hao maprofessa waliosoma LLB hapo UDSM hawako vizuri kama watu waliosoma JD Harvard?
Nataka nikuelewe kwenye hili?

Wanakuwa wazuri zaidi ukilinganisha na wanafunzi wenzao na siyo kwa maprof. Harvard isikutishe sana hata udsm inao waliopita huko na kufanya vizuri ila still ni very ordinary lecturers.
 
Hong

Hongera kwa kuwa na data kiboko kama hiyo; '94 mimi mwenyewe nilikuwa pale Udsm lakini sikuweza kuipata kwa kuwa nilikuwa bize zaidi kule FOE. Tuletee basi na data za vyuo vingine vya nje hasa ulaya na marekani kwa maana hata waliotoka Havard wanatakiwa kujiunga Law School
Mimi nilikua na Miaka Minne.
 
Hong

Hongera kwa kuwa na data kiboko kama hiyo; '94 mimi mwenyewe nilikuwa pale Udsm lakini sikuweza kuipata kwa kuwa nilikuwa bize zaidi kule FOE. Tuletee basi na data za vyuo vingine vya nje hasa ulaya na marekani kwa maana hata waliotoka Havard wanatakiwa kujiunga Law School
Mimi nilikua na Miaka Minne
 
Wanakuwa wazuri zaidi ukilinganisha na wanafunzi wenzao na siyo kwa maprof. Harvard isikutishe sana hata udsm inao waliopita huko na kufanya vizuri ila still ni very ordinary lecturers.

Coherence man!
Nani kasema Harvard inanitisha?
Swali langu hujajibu bado; hao maprofesa si wwalikuwa wanafunzi nao?
Sasa nataka uniamabie kipi kinachowafanya wanafunzi wa nje wawe wazuri kuliko wa hapo kwenye chuo chenu cha UDSM.
 
mku
Mtoa mada una mhenuko.Law School ni regulatory board ambayo Wanafunzi toka vyuo vyote mnapitia pale.Pili,Lst Haiwezi kuanzishwa kila chuo na ndio maana tunataka wanasheria wenye same standard,-Tatu,Wanafunzi 500 ni wengi na pia wanatosha .Nne,Fani ya sheria siyo rahisi kujiajiri kama unavyofikiri,najua wewe ni llb graduate ambaye ukiona wakili unawaza wateja wanamfuata hapo matakoni .Uwakili ni zaidi ya muhuri n a law firm,ni kujitolea ,kutolala na kufanya tafiti sana.Nakushauri ukasome ustawi wa jamii kama hutaki kupitia lst.Nbaa ,kwa wahasibu mbona hawalii lii namna hii?Procurement nao wana bodi yao,Nini maana ya profession?Isikute mpo llb na mnason madesa ya kida Kadeghe ndo maana reasoning capacity yenu ipo chini.Jaji Ndika kuwa makini na hawa wanafunzi wa 17- 29th Cohort,Kumbuka hawa ndo wale waliobebwa na serikali matokeo ya form 4 na 6 ili isiabike dhidi ya shule binafsi.Ndika ,Majamba,Chuwa,Madam molel ,Lukumay ,Dr Swai Kamata hao vijana supp za kutosha,Waachieni kama 20 tu ili wajue uwakili si matako!
mkuu naomba futa kauli mimi ni 17th cohort na wala hatukuwai kubebwa uko sekondari kama unavyosema.. acha dharau watu tumekesha na vitabu wew
 
Coherence man!
Nani kasema Harvard inanitisha?
Swali langu hujajibu bado; hao maprofesa si wwalikuwa wanafunzi nao?
Sasa nataka uniamabie kipi kinachowafanya wanafunzi wa nje wawe wazuri kuliko wa hapo kwenye chuo chenu cha UDSM.

Siyo wanafunzi wote wa nje wazuri kuwa specific nje wapi nikujibu.
 
Hao waliofungua kesi hawakujua kuwa hawana ushahidi? Ile kesi hata kama wakili angekuwa mwanafunzi wa beekeeping mwaka wa kwanza angemtetea Mhando, angeshinda
na wale waserikalivwalipitia hiyo shule yenu na wakaleta kesi mahakamani . hiyo shulecis useless
 
hahahaha, nimeona maelfu ya first class nikashituka kwanza anazungumzia za sheria au mapishi?
Chini ya Mgongo fimbo,Late Kapinga,Tenga,Kabudi,Chuwa,Tairo,Njamasi,Asina,Tulia upate 1st class hivi hivi?heee labda Vyuo huria kama kile cha pale kurasini,Pale iringa kihesa,Pale kilala Arusha,Pale Tanga,ila si Mlimani.
 
Chini ya Mgongo fimbo,Late Kapinga,Tenga,Kabudi,Chuwa,Tairo,Njamasi,Asina,Tulia upate 1st class hivi hivi?heee labda Vyuo huria kama kile cha pale kurasini,Pale iringa kihesa,Pale kilala Arusha,Pale Tanga,ila si Mlimani.
kabisa huyu jamaa hajui anachokisema,
 
Back
Top Bottom