ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Mazingira magumu ya kupambana na uhalifu yapo kila nchi, lakini hii inaweza kuwa ngumu zaidi unapopaswa kupamabana na wahalifu waliokata tamaa ya maisha na kuua au kuuwawa kwao si kitu. Ni kazi ngumu pia hata kupata ushirikiano wa kuwezesha kuwatia hatiani wahalifu.
[ame="http://video.google.com/videoplay?docid=-258794784227132041"]http://video.google.com/videoplay?docid=-258794784227132041[/ame]#
Hivi hii dhana ya "polisi Jamii" ya kwetu inaweza kufikia kiwango cha kukabiliana na uhalifu wa hali ya juu pale ambapo hata askari hawajawezeshwa??.
[ame="http://video.google.com/videoplay?docid=-258794784227132041"]http://video.google.com/videoplay?docid=-258794784227132041[/ame]#
Hivi hii dhana ya "polisi Jamii" ya kwetu inaweza kufikia kiwango cha kukabiliana na uhalifu wa hali ya juu pale ambapo hata askari hawajawezeshwa??.