Law 1: Never outshine your master

Acha woga wewe ,hii nchi wakuu ni mahouse girl wa wananchi ,anaeweza nitishia nje ya katiba ,hapo hapo hastahili kuwa kiongozi
 
Wengi hatujuwi hii law na wengi inatutesa mpaka makaburini.

Kumbe inakupasa kuwa makini sana unapo kuwa unaongea na kiongoz wa juu. Wakati mwingine unaweza kuwa unapata shida na mateso usio yajuwa kwakujifanya wewe una akili kuliko viongoz wako.

Hii law inamanisha kwamba tuwe na tabia yakuongea kwa kiasi mbele ya watu wakuu.

Sheria hii ukisoma inaonyesha mifano ya watu wakale walio pata shida kwa kutokuwa makin ktk matendo yao.

Hivyo tuwe makini yangu hayo tu kwa leo
Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake.(Jesus).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hatujuwi hii law na wengi inatutesa mpaka makaburini.

Kumbe inakupasa kuwa makini sana unapo kuwa unaongea na kiongoz wa juu. Wakati mwingine unaweza kuwa unapata shida na mateso usio yajuwa kwakujifanya wewe una akili kuliko viongoz wako.

Hii law inamanisha kwamba tuwe na tabia yakuongea kwa kiasi mbele ya watu wakuu.

Sheria hii ukisoma inaonyesha mifano ya watu wakale walio pata shida kwa kutokuwa makin ktk matendo yao.

Hivyo tuwe makini yangu hayo tu kwa leo

Ideology zako uamini ktk kumiliki kutawala watu yaani zidumu fikra za kiongozi, jua mazingira na wakati umebadilika,huu ni wkt wa fikra huru, isipokuwa tu usikiuke Sheria. Wengi kuongea ukweli uonekana ni ukosefu wa adabu.
 
Haya
Screenshot_20190218-232020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom