valuablecock
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 783
- 801
Kwakweli hiyo hazina iliyofichwa katikaki ya miguu huwa haimtupi mwenye bahati.Lisemwalo lipo mkuu, huoni kuwa mkwe wa Kingungwe kwa wakati ule halikuwa jambo dogo.
Kwakweli hiyo hazina iliyofichwa katikaki ya miguu huwa haimtupi mwenye bahati.Lisemwalo lipo mkuu, huoni kuwa mkwe wa Kingungwe kwa wakati ule halikuwa jambo dogo.
No hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
Unaiyosha ya maji ya uvungu vungu, halafu unazikuta zina ile harufu yake ya asili hata ukizama chumvini unajiskia upo chumvini, ila wale wa masaki **** zao unakuta hazina ile harufu yake ya asili ina nukia lotion maana mda wote inasunguliwa na maji
Huyu jamaa alikula demu wangu alikuwa anasoma Ngaza usijekuwa ni wewe aiseii..! Simpendi ata kiduchuu..
Fikra zako potofu, kwahiyo hata vijana kumchagua Mungu wanakosea au?Tatizo Masha alichagua njia mbovu... Hivi unaanzaje kupenda upinzani kwa Tanzania!?... please, vijana naomba tujitambue
Uzuri yeye ana "Professional" yake anayoweza kuitumia kumwingizia kipato tofauti na wengi ambao wakikosa Ubunge /Uwaziri ndio basi tenaNo hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
achaaaaa kabsa....mkuuAliibuka kwenye uchaguzi kupitia chadema akatiwa lockup na police ingawa miaka michache iliyopita alikuwa boss wao. Haya maisha bwana
yameisha mkuu kakosea..na amekiriMasha hajawahi kuwa waziri wa ulinzi
No hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
Do those were the days na kina Maryam Chingwile.
Tatizo yeye kaporomokaKatika siasa, kupanda au kushuka ni kitu cha kawaida na mbona siyo yeye tu!
shida sana - kazungukwa kila kona na kwenye kila kiti, hivi bado anakuja pale na watu kumbebea simu?Waziri mwenye ofisi Rose Garden
Hata wewe bado kidogo udukuliwe!No hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
Rose Garden alikuwa anafanya nini?shida sana - kazungukwa kila kona na kwenye kila kiti, hivi bado anakuja pale na watu kumbebea simu?