Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hivi sasa saa tano unusu usiku marufuku kunywa bia...Do those were the days na kina Maryam Chingwile.
Hivi sasa saa tano unusu usiku marufuku kunywa bia...Do those were the days na kina Maryam Chingwile.
Jamani mnamkumbuka brother Lau Masha waziri wa zamani wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Kammiss tuVipi kwani kapotea??
Ohooo!!Mmmmh! Mkuu vipi alishawahi kukukaza nn? Kwamba umekumbuka majamboz yake?
Ninafahamu hii ilikuwa ndiyo ile taasisi ya Lowassa for a long time, hawa ndiyo waliku CCM ya Lowassa kinandaki ndaki.Aliibuka kwenye uchaguzi kupitia chadema akatiwa lockup na police ingawa miaka michache iliyopita alikuwa boss wao. Haya maisha bwana
Ni ex wako nini??No hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
Aliipoteza mwenyewe. Waulize wamachinga wa Makoroboi shombo alizokuwa anawajibu, mpaka wakaamua kulitunuku jimbo kwa WenjeNo hajapotea wala hajapatwa na chochote kibaya, nilipitia katika maktaba yangu na kukuta hizi picha, nilitafakari jinsi siasa ilivyo mchezo mchafu, nyota ya mwanasiasa huyu imepotea ghafla kwenye siasa.
Asantekama nilivyokumiss wewe mkuu.