LATRA simamieni sheria, mabasi yote yapakie na kushusha abiria kwenye stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.
Sio kwwli, mabasi yote lazima yakaguliwe kwasababu njiani lazima waonyeshe form ya ukaguzi.

Tena vituo hivi ulivyovitaja ni salama kuliko Magufuli stand ambapo wapiga debe wsnasumbua sana.

Shekilango, urafiki, Ubungo business park hakuna usumbufu mkubwa wa wapiga debe, pia hakuna watu wengi wizi utoke wapi?
 
Sioni shida yoyote

Kuhusu kushusha abiria kabla ya stendi kuu ni sawa. Fikiria basi la kutoka Kilimanjaro kupitia Bagamoyo lina abiria wa Bunju. Unataka akashushwe Magufuli(Mbezi) halafu ndio atafute daladala arudi Bunju?

Abiria atashushwa njiani na bado basi litaenda stendi kuu kushusha abiria wengine. Watakaoamua kubaki kwenye basi waende kushuka kwenye ofisi za hilo basi kwa ajili ya unafuu wa kwenda waendako ni sawa pia

Ukija upande wa kupandisha abiria. Wakipandisha abiria kwenye ofisi zao bado basi litaenda stendi kuu kupakia abiria wengine. Na hapa abiria aliyepandia ofisini kwa sababu ya ukaribu na anapotoka amepunguziwa gharama ya kwenda stendi kuu

Biashara ina ushindani mkubwa customer care nzuri muhimu sana kuvutia wateja
Asipokuelewa hapa basi tena itakua kichwa maji
 
Lengo la kujengwa kituo kikubwa vha mabasi cha Magufuli ni kuhakikisha Mabasi yote yanaingia hapo na sio vinginevyo.

Ila naona LATRA na wadau wengine wanaona "muhali" kuchukua hatua dhidi ya makampuni ambayo yameanzisha stendi bubu katika maeneo ya ofisi zao.
´Hili la kuwa na kituo kimoja wakati jiji limepanuka ndiyo tatizo. Tunarudi kule kule: viongozi wetu wanakurupuka. Jiji kubwa kama Dar practically ni vigumu sana kuwa na kituo kimoja cha mabasi. Magari yanayopitia Bagamoyo yanatakiwa kuwa na kituo chake eg Mwenge. (kambi ya jeshi ihamishwe) Yanayotokea kusini nayo yawe na kituo chake. BTW wewe unaweza kuwa ni hawa wajasiriamali waliofungua frem pale kituo cha Magufuli unataka wateja. Au unatoa huduma ya tax, bajaji kwenye hayo maeneo. Tanzania mara nyingi watu wanalalamika pale ''wapoguswa'' maslahi yao na siyo maslahi ya umma.
 
Sioni shida yoyote

Kuhusu kushusha abiria kabla ya stendi kuu ni sawa. Fikiria basi la kutoka Kilimanjaro kupitia Bagamoyo lina abiria wa Bunju. Unataka akashushwe Magufuli(Mbezi) halafu ndio atafute daladala arudi Bunju?

Abiria atashushwa njiani na bado basi litaenda stendi kuu kushusha abiria wengine. Watakaoamua kubaki kwenye basi waende kushuka kwenye ofisi za hilo basi kwa ajili ya unafuu wa kwenda waendako ni sawa pia

Ukija upande wa kupandisha abiria. Wakipandisha abiria kwenye ofisi zao bado basi litaenda stendi kuu kupakia abiria wengine. Na hapa abiria aliyepandia ofisini kwa sababu ya ukaribu na anapotoka amepunguziwa gharama ya kwenda stendi kuu

Biashara ina ushindani mkubwa customer care nzuri muhimu sana kuvutia wateja
Maelezo yako yamjaa busara na akili. Sina la kuongeza ila nashauri yatekelezwe. Unajua kuna wengine wanataka abiria wote wawe wanamwagwa hapo stendi ili biashara kama tax, bajaji na hata vyakula zichanganye.
 
Hivi wewee jamaa una shida gani? Unajua ukubwa wa Dar es salaam?! Kuna watu wanakaa kigamboni, wengine buza, wengine bunju, watu wanakaa chamazi wengine mbande , msongola, mvuti mpaka Chanika, wengine gongolamboto, majoe mpaka pugu kajiungeni,

Kufika huko mbezi mwisho Louis stand ya magufuli ni dalala mbili mpaka tatu, wanna watoto, wagonjwa , wazee na mizigo! Huna huruma na Hilo?! Kazi ya serikali ni kurahisha huduma ya usafiri kwa wananchi wake na sio kuwawekea mazingira magumu!

Acha ukoloni na uzamani wako, ujima wa zama za mawe! Acha kila mtu aangalie unafuu wake anae ona mbezi kwa magufuli ni Bora aende huko na anaeona kupandia sehemu yake ninafuu afanye hivyo!
 
Mtu anashushwa na bus huko mbagala au asubuhi badala ya kuhangaika na Boda boda ambayo usalama ni mdogo unazungumzia bus isiwapakie huko tupunguze roho mbaya wazee...

Bus likimshusha mtu Kigamboni wewe unaumia nini kama sheria ipo na imepitwa na wakati kwa usalama wa Raia ibadilishwe ila watu wengi waliojenga Hotel kwa pesa za Mkopo ndio utawaona wanahangaika kuhusu Bus kupitia Magufuri Terminal wao hata adha ya usafiri hawaijui...
 
Tabia ya kila basi kupakia na kushusha abiria sehemu yoyote katika Jiji la Dar es Salam imekuwa kwa kasi ya ajabu. Hivi sasa Mabasi yamezagaa katika kila mtaa yanapakia na kushusha abiria waendao na watokao mikoani.

Hali hii imechochea ongezeko la ajali lakini pia usalama umekuwa mdogo sana.

Swali la kujiuliza ni je? Ni lipi haswa lengo la kujengwa stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi?!!!


Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.


Kama kuna sheria inaruhusu kila basi kupakia na kushusha popote basi sheria hiyo irekebishwe mara moja na LATRA wanao wajibu wa kusimamia na kuhakikosha mabasi yote yanafuata na kutii sheria ya kupakia na kushusha abiria kwenye stendi maalum.

Nimepita maeneo ya shekilango, manzese n.k ni vurugu tupu, mambo yanaenda ovyoovyo!!! Kila basi linajifanyia mambo yake!!! LATRA mko wapi??!

Nawatakia krismas njema.
Yesu Kristu azaliwe kwenye mioyo yetu, tuwe na upendo na huruma kwa binaadamu wenzetu.
Utafiti wa kijinga huu huyo anayelalamika kuhusu kupakia na kushusha kwenye baadhi ya maeneo aende Magufuli stand maana mabasi yote yanapita Magufuli stand. Basi linatoka tanga linaenda mbagala sasa abiria wa mbagala ashuke Magufuli stand?
Huu ni upumbavu.
 
Ungekua unakaa Bunju halafu unatokea Arusha via Bagamoyo road usingeandika ulichokiandika.
Hukumuelewa mleta mada,sheria haikatazi gari kushusha abiria anapofika kituo chake lakini ipo sheria inataka kila bus kufika pale terminal kwa ajili ya kukaguliwa timetable yake etc na kipindi cha nyuma kidogo wenye magari walikuwa wanakumbushwa kuifuata.

Na shida ipo kwa hao hao wanaopita B/moyo Road unakuta abiria anataka ashuke Mbezi lakini wao humtaka ashuke pale Shule (Njia panda ya Goba/Bagamoyo Road) akileta ubishi anapekekwa Shekilango,Riverside au Manzese huko akakodi Bajaj arudi Mbezi.
 
Hukumuelewa mleta mada,sheria haikatazi gari kushusha abiria anapofika kituo chake lakini ipo sheria inataka kila bus kufika pale terminal kwa ajili ya kukaguliwa timetable yake etc na kipindi cha nyuma kidogo wenye magari walikuwa wakakumbushwa kuifuata.

Na shida ipo kwa hao hao wanaopita B/moyo Road unakuta abiria anataka ashuke Mbezi lakini wao humtaka ashuke pale Shule (Njia panda ya Goba/Bagamoyo Road) akileta ubishi anapekekwa Shekilango,Riverside au Manzese huko akakodi Bajaj arudi Mbezi.
oooh kama hawafiki kituo kikuu ,basi wanatenda uovu ila abiria wambali wasilazimishwe washukie kituo kikuu kituo kikuu
 
Tabia ya kila basi kupakia na kushusha abiria sehemu yoyote katika Jiji la Dar es Salam imekuwa kwa kasi ya ajabu. Hivi sasa Mabasi yamezagaa katika kila mtaa yanapakia na kushusha abiria waendao na watokao mikoani.

Hali hii imechochea ongezeko la ajali lakini pia usalama umekuwa mdogo sana.

Swali la kujiuliza ni je? Ni lipi haswa lengo la kujengwa stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi?!!!


Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.


Kama kuna sheria inaruhusu kila basi kupakia na kushusha popote basi sheria hiyo irekebishwe mara moja na LATRA wanao wajibu wa kusimamia na kuhakikosha mabasi yote yanafuata na kutii sheria ya kupakia na kushusha abiria kwenye stendi maalum.

Nimepita maeneo ya shekilango, manzese n.k ni vurugu tupu, mambo yanaenda ovyoovyo!!! Kila basi linajifanyia mambo yake!!! LATRA mko wapi??!

Nawatakia krismas njema.
Yesu Kristu azaliwe kwenye mioyo yetu, tuwe na upendo na huruma kwa binaadamu wenzetu.
Huna akili wewe na ujawai kusafiri
 
Hukumuelewa mleta mada,sheria haikatazi gari kushusha abiria anapofika kituo chake lakini ipo sheria inataka kila bus kufika pale terminal kwa ajili ya kukaguliwa timetable yake etc na kipindi cha nyuma kidogo wenye magari walikuwa wakakumbushwa kuifuata.

Na shida ipo kwa hao hao wanaopita B/moyo Road unakuta abiria anataka ashuke Mbezi lakini wao humtaka ashuke pale Shule (Njia panda ya Goba/Bagamoyo Road) akileta ubishi anapekekwa Shekilango,Riverside au Manzese huko akakodi Bajaj arudi Mbezi.
Abiria wengine nao wasumbufu tu, si wapande bus zinazopita Kibaha na Morogoro road. Bus za kutoka Arusha, Moshi na Tanga ziko.zinazopita njia ya Kibaha na za Bagamayo, kwa nini wao wapande za Bagamayo wakati wanashukia Magufuli ili warudishwe nyuma tena kuchelewesha abiria wengine.
 
Hukumuelewa mleta mada,sheria haikatazi gari kushusha abiria anapofika kituo chake lakini ipo sheria inataka kila bus kufika pale terminal kwa ajili ya kukaguliwa timetable yake etc na kipindi cha nyuma kidogo wenye magari walikuwa wakakumbushwa kuifuata.

Na shida ipo kwa hao hao wanaopita B/moyo Road unakuta abiria anataka ashuke Mbezi lakini wao humtaka ashuke pale Shule (Njia panda ya Goba/Bagamoyo Road) akileta ubishi anapekekwa Shekilango,Riverside au Manzese huko akakodi Bajaj arudi Mbezi.
.....ipo sheria inayotaka mabasi yakaguliwe time table zao...hii ni sheria ya kupumbavu kabisa,why time table ikaguliwe?,elewa ilitakiwa hizi public vehicles ziwe na roadworthy certificate, dereva awe na PDP permit,sio mambo kama hayo yanayotoa mianya ya rushwa
 
Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.
Stand ya Magufuli pale ndio wamejaa matapeli hao wapiga debe wengi ni matapeli, wanapandishia abiria bei
 
Hukumuelewa mleta mada,sheria haikatazi gari kushusha abiria anapofika kituo chake lakini ipo sheria inataka kila bus kufika pale terminal kwa ajili ya kukaguliwa timetable yake etc na kipindi cha nyuma kidogo wenye magari walikuwa wanakumbushwa kuifuata.

Na shida ipo kwa hao hao wanaopita B/moyo Road unakuta abiria anataka ashuke Mbezi lakini wao humtaka ashuke pale Shule (Njia panda ya Goba/Bagamoyo Road) akileta ubishi anapekekwa Shekilango,Riverside au Manzese huko akakodi Bajaj arudi Mbezi.
Mabasi yote yana ofisi stand ya Magufuli, yakishatoka kwenye ofisi zao, yanapitia na pale stand kuu kwenye ofisi zao, maana na hapo kuna kuwaga na abiria wengine wanasubiria kupandia hapo
 
Tabia ya kila basi kupakia na kushusha abiria sehemu yoyote katika Jiji la Dar es Salam imekuwa kwa kasi ya ajabu. Hivi sasa Mabasi yamezagaa katika kila mtaa yanapakia na kushusha abiria waendao na watokao mikoani.

Hali hii imechochea ongezeko la ajali lakini pia usalama umekuwa mdogo sana.

Swali la kujiuliza ni je? Ni lipi haswa lengo la kujengwa stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi?!!!


Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.


Kama kuna sheria inaruhusu kila basi kupakia na kushusha popote basi sheria hiyo irekebishwe mara moja na LATRA wanao wajibu wa kusimamia na kuhakikosha mabasi yote yanafuata na kutii sheria ya kupakia na kushusha abiria kwenye stendi maalum.

Nimepita maeneo ya shekilango, manzese n.k ni vurugu tupu, mambo yanaenda ovyoovyo!!! Kila basi linajifanyia mambo yake!!! LATRA mko wapi??!

Nawatakia krismas njema.
Yesu Kristu azaliwe kwenye mioyo yetu, tuwe na upendo na huruma kwa binaadamu wenzetu.
Sio lazima kufanya umachinga stand kama biashara yako hapo imekataa hamia sokoni
 
Back
Top Bottom