Kuna magari mengi sana ya Mbezi - Mwanalugali, Mbezi Boko Mnemela na sasa Mbezi Sofu yamesajiriwa kupeleka abiria huko lakini yanaishia Njuweni - Kibaha hii ni kikwazo kwa wakazi wa maeneo hayo maana gari zipo lakini hakuna hata moja inayoenda huko.
Sasa hii ruti mpya ya sofu magari ni mengi sana lakini hakuna linaloenda sofu. Tunaomba mamlaka husika kusimamia jambo hili ikiwa ni pamoja na kuzingatia nauli kama ilivyopangwa.
Sasa hii ruti mpya ya sofu magari ni mengi sana lakini hakuna linaloenda sofu. Tunaomba mamlaka husika kusimamia jambo hili ikiwa ni pamoja na kuzingatia nauli kama ilivyopangwa.