Ni technology inayotumia mwanga kusoma vitu mbali mbali ni kirefu cha light amplification stimulated by emmision of radiation, Laser ni mwanga wa rangi ya aina moja,Mwanga huu hausambai kama miale mingane unakuwa spotted katika point ulipoelekezea. Laser hutumika kusoma Cd katika dvd yako pia Bar code scanners katika supermarket pia hutumika ktk military purpose kama kulenga au lar hutumika kukatia vitu kwa usahihi kabisa nakaribisha mijadala kwa ndani zaidi juu ya technology hii ya Laser
Ndo tatizo la elimu yetu unakuta mwanafunzi wa pcm form six hajui hata kureplace Lamp au Fuse then ndo upcoming engineer sasa akutane na madesa hapo coet anatoka mweupe kabisa practically