jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,746
- 1,531
Nashukuru sana mkuu kwa majibu yako ambayo yameonesha mwanga sana. laseR nataka iwe spot light ambayo itakuwa reflected kuzunguka eneo ninalohitaji na itamulika kwenye LDR na kuzoa signal kwenye buzzer/Siren ambayo itakuwa sehemu ambayo itakuwa rahisi kusikika mtu aki interact. na nina mpango wa kufanyia kwenye breadboard kwanza, vipi kuhusu hio laser mkuu Daniel SchoterMkuu Safi sana Kwa idea hizo Unazofikiria mimi ni mwana Electronics pia naeeza pata brief kidogo juu ya Circuit yako itavyo operate Anza na prototype kwa kutumia Bread Board Ikikubali ndo njoo uchomelee kwenye PCB, LDR ni 1000
Transistor BC 543 ni 1000 au 500
Resistor 300 kwa circuit hio tumia Resistor za Robo 1/4 au 1/8Watts
Plain PCB hio ni Buku mbili kwa kipande Tuje hapo kwa Laser je unataka kutengeneza Spot light ambayo itamulika LDR na kutoa signal incase mtu aki interact kati ya laser na LDR basi tunapata Output si ndio?
Addition hapo Utahitaji Relay ya kuswitch Volts 5 ambayo itapokea signal ya 5V na Kuswitch load ya 220V either siren au Fance
Nashukuru sana mkuu kwa majibu yako ambayo yameonesha mwanga sana. laseR nataka iwe spot light ambayo itakuwa reflected kuzunguka eneo ninalohitaji na itamulika kwenye LDR na kuzoa signal kwenye buzzer/Siren ambayo itakuwa sehemu ambayo itakuwa rahisi kusikika mtu aki interact. na nina mpango wa kufanyia kwenye breadboard kwanza, vipi kuhusu hio laser mkuu Daniel Schoter
Mkuu hii lazima niifanye, nashukuru sana. vipi plain pcb zinapatikana wapi? nitatumia ushauri wako pia kuhusu spot light.Kuhusu laser sina Experience nayo sana Ila unaweza kucheki Ebay na utapata spot light hata kama si Laser itafaa Pia kumbuka laser ita spot LDR ina maana mwizi akikatisha tu huo mstari Wa Laser Siren/Buzzer au bell italia, Kama una DVD mbovu ngoa iyo circuit ya Laser uitumie katika spotting, Project yako nimeipenda sana Tafuta material uanze ku implement mkuu ukikwama jukwaa lipo Michango itakusaidia, Cha ziada hapo kwenye Transistor Sio lazima upate exactly number hio Kama ni NPN na General Purpose basi transistor yoyote ya General Purpose ita switch Poa!
Thanks mkuu, namcheck sasa iviPia mkuu kuna jamaa anaitwa Frank Waya. Ni mbunifu sana wa mambo ya security na electronic nyingine nyiingi. Please, I insist, visit him Facebook anatumia jina hilo la Frank Waya
Plan PCB ni nyingi sana Mkuu maduka yote ya Electronics utapata mkuu, Kwa Arusha Kuna duka linaitwa Conny na Lingine Tanga yapo Town kabisaMkuu hii lazima niifanye, nashukuru sana. vipi plain pcb zinapatikana wapi? nitatumia ushauri wako pia kuhusu spot light.
yap nimeona mkuu, naona na yeye kuna sehemu ametengeneza security alarm, thanks a lot mkuuPia mkuu kuna jamaa anaitwa Frank Waya. Ni mbunifu sana wa mambo ya security na electronic nyingine nyiingi. Please, I insist, visit him Facebook anatumia jina hilo la Frank Waya
ok ahsante mkuu, mi nipo Dom nitacheck kwenye maduka ya electronics hapa townPlan PCB ni nyingi sana Mkuu maduka yote ya Electronics utapata mkuu, Kwa Arusha Kuna duka linaitwa Conny na Lingine Tanga yapo Town kabisa
ok ahsante mkuu, mi nipo Dom nitacheck kwenye maduka ya electronics hapa townPlan PCB ni nyingi sana Mkuu maduka yote ya Electronics utapata mkuu, Kwa Arusha Kuna duka linaitwa Conny na Lingine Tanga yapo Town kabisa
Mi nahitaji ya kutengeneza mwenyewe mkuuOk kwa ufaham wangu hz za kutengeneza manual sina uzoefu nazo mm nazijua zile za kununua taaa pamoja .net sensor zake .na alam labda sijui ulikuwa unahitaji ipi
Nashukuru mkuu, naifanya pia maana niko interested sana hizi electronics projects ambazo mtu unaweza fanyia nyumbani, na sio for high security mkuuHii ni rahisi sana kutengeneza, sema sio ya kutumia for high security sababu it can easily be taken down, labda iwe kama hobby project tu.
Kukurahisishia maisha usisumbuke kutengeneza circuit mwenyewe kama hujui, tengeneza arduino board, ingia hata UDSM au DIT labs kuna circuits zote required kutengeneza arduino yako mwenyewe, then tafuta laser na sensor ya light then icode, its a much simpler alternative nadhani na more expandable maana unaweza ongeza features zako mwenyewe kupitia code.