venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,467
- 3,372
Ndoa miaka 2imekuchosha??kwani ulikua ukisikia ndoa ni uvumilivu ulikua unaelewa ni kitu gani hasa??au kua uyaone ulidhani ni magorofa??ngoja nikwambie kitu,maisha ya ndoa yana sehem 3.kwanza huwa ni matamu km asali,sehem ya pili ni machungu km shubiri na hapa uvumilivu ukikushinda ndo unafunga virago na kuondoka,lakin mwisho watu huishi kwa mazoea,,yaan nataman ningekujua nikwambie kitu