Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Laptop yangu aina ya DELL Latitude E6410 imenigomea kuwaka toka ijumaa ya week hii.
Nikiiwasha inaandika "Automatic Repair" ila cha ajabu inaganda hapo hapo.Baada ya muda mfupi Screen inakuwa nyeupe then itakaa hivyo hata masaa 6 then itanipa options 3 ,
1.Continue with window 8.1
2.Troubleshoot
3.cancel
Ila nikibonyeza option yoyote kati ya hizo itanirudisha kule kule Kwa "Automatic Repair" then mchezo unakuwa ni mzunguko ule ule.
Nimejaribu kuwaambia marafiki zangu wenye utaalamu zaidi hapa chuoni wakanishauri niweke Window tena,ila sasa napoweka huo window mpya hutumia zaidi ya masaa 5 kuongezeka asilimia moja tu ya kipengelewe cha kwanza wakati wa kupiga window.Ni kipengele kiitwacho "Extracting Window files"
Wakuu nilijitahidi kuvumilia zaidi ya siku moja mpaka Leo naamka asubuhi naambiwa ili fail ikiwa na 59%.
Nikajaribu kuuliza upya kuwa tatizo inaweza kuwa nini .? Nikajibiwa "HDD yako imekufa"
Sasa wakuu kinachonitisha zaidi ni Kuwa wakati napiga window baada ya kuelekezwa na mtaalamu nilikuwa Naona partitions za HDD yangu.So kama HDD mbovu mbona ilikuwa inaonekana kwenye window?
Na kama window uli corapse ilikuwaje nikapewa option number 1 kuwa niendelee na Window 8.1?
Wakuu naamini JamiiForums kuna wataalamu zaidi hivyo nimeleta hili tatizo kwenu kuomba msaada.
Ni hayo tu.
Nikiiwasha inaandika "Automatic Repair" ila cha ajabu inaganda hapo hapo.Baada ya muda mfupi Screen inakuwa nyeupe then itakaa hivyo hata masaa 6 then itanipa options 3 ,
1.Continue with window 8.1
2.Troubleshoot
3.cancel
Ila nikibonyeza option yoyote kati ya hizo itanirudisha kule kule Kwa "Automatic Repair" then mchezo unakuwa ni mzunguko ule ule.
Nimejaribu kuwaambia marafiki zangu wenye utaalamu zaidi hapa chuoni wakanishauri niweke Window tena,ila sasa napoweka huo window mpya hutumia zaidi ya masaa 5 kuongezeka asilimia moja tu ya kipengelewe cha kwanza wakati wa kupiga window.Ni kipengele kiitwacho "Extracting Window files"
Wakuu nilijitahidi kuvumilia zaidi ya siku moja mpaka Leo naamka asubuhi naambiwa ili fail ikiwa na 59%.
Nikajaribu kuuliza upya kuwa tatizo inaweza kuwa nini .? Nikajibiwa "HDD yako imekufa"
Sasa wakuu kinachonitisha zaidi ni Kuwa wakati napiga window baada ya kuelekezwa na mtaalamu nilikuwa Naona partitions za HDD yangu.So kama HDD mbovu mbona ilikuwa inaonekana kwenye window?
Na kama window uli corapse ilikuwaje nikapewa option number 1 kuwa niendelee na Window 8.1?
Wakuu naamini JamiiForums kuna wataalamu zaidi hivyo nimeleta hili tatizo kwenu kuomba msaada.
Ni hayo tu.