vlazarowosky
Senior Member
- Nov 9, 2014
- 172
- 282
Habari za asubuhi wote.
Naombeni msaada kwa anayejua nawezaje kutatua hili tatizo, ANISAIDIE!
Laptop yangu haitaki kuwaka mpaka iweze kutumika. (Power inaingia vizuri, Tatizo ni booting) Ikifika mahali fulani kabla haijawaka, inaleta zile option za ku-restart normally au ku-restart kwa kutumia option ya recommended.
Nikichukua option ya ku-restart normally, inarudi hapo hapo, na nikichukua option ya ku-restart ambayo iko recommended, nafika mpaka pale kwenye system restore ila inashindwa kuendelea sababu inashindwa kuipata drive C ambayo ndo ina O.S.
Ni jinsi gani NAWEZA vipata vitu vilivyopo humu kwenye drive C?? Ni vya muhimu sana.
Nimeitoa hiyo hard disk na kujaribu kuitumia kama external hard disk ktk laptop nyingine, ila ni partitions zingine zinazoonekana na kufunguka. Drive C ktk my computer haionekani, ila kwenye computer management inaonekana.
Inaonyesha pia kuwa inaweza kuwa formatted. Inaonyesha rangi ya dark blue, kuwa ni primary partition na kuonyesha disk size tu (150 GB), zaidi ya hapo haionyeshi kitu kama drives zingine zinavyoonyesha drive letter, file format (NTFS) etc.
Nimejaribu ku-istall upya O.S kwa ajili ya ku-repair tu, sio new installation ila inashindwa kuiona drive C hivyo zoezi linagoma. O.S nitumiayo ni Windows 7 altimate, 32 bit.
Tatizo lilianza wakati naifanyia partition drive C, ghafla ilikuja ile blue screen na baada ya hapo ndo haya matatizo.
Pamoja na maelezo yote hapo juu, lengo langu kuu ni kutaka kupata vitu nilivyoweka humo ndani. Ni vya muhimu. Siwezi i-format. Kama kuna mdau anajua, tafadharini.
ASANTENI.
Naombeni msaada kwa anayejua nawezaje kutatua hili tatizo, ANISAIDIE!
Laptop yangu haitaki kuwaka mpaka iweze kutumika. (Power inaingia vizuri, Tatizo ni booting) Ikifika mahali fulani kabla haijawaka, inaleta zile option za ku-restart normally au ku-restart kwa kutumia option ya recommended.
Nikichukua option ya ku-restart normally, inarudi hapo hapo, na nikichukua option ya ku-restart ambayo iko recommended, nafika mpaka pale kwenye system restore ila inashindwa kuendelea sababu inashindwa kuipata drive C ambayo ndo ina O.S.
Ni jinsi gani NAWEZA vipata vitu vilivyopo humu kwenye drive C?? Ni vya muhimu sana.
Nimeitoa hiyo hard disk na kujaribu kuitumia kama external hard disk ktk laptop nyingine, ila ni partitions zingine zinazoonekana na kufunguka. Drive C ktk my computer haionekani, ila kwenye computer management inaonekana.
Inaonyesha pia kuwa inaweza kuwa formatted. Inaonyesha rangi ya dark blue, kuwa ni primary partition na kuonyesha disk size tu (150 GB), zaidi ya hapo haionyeshi kitu kama drives zingine zinavyoonyesha drive letter, file format (NTFS) etc.
Nimejaribu ku-istall upya O.S kwa ajili ya ku-repair tu, sio new installation ila inashindwa kuiona drive C hivyo zoezi linagoma. O.S nitumiayo ni Windows 7 altimate, 32 bit.
Tatizo lilianza wakati naifanyia partition drive C, ghafla ilikuja ile blue screen na baada ya hapo ndo haya matatizo.
Pamoja na maelezo yote hapo juu, lengo langu kuu ni kutaka kupata vitu nilivyoweka humo ndani. Ni vya muhimu. Siwezi i-format. Kama kuna mdau anajua, tafadharini.
ASANTENI.