Sasa hao mafundi unaoogopa ndio sisi hapa na huku jf tupo teh teh teh.Wadau naomba ushauri, toshiba yangu ilianza kwa kukoroma kwa spika na sasa haitoi sauti kabisa, sababu yaweza kua nin? maana uzoefu na haya mambo sina kupeleka kwa mafund wetu hawa naogopa, naomben ushauri, nifanyeje.
Sasa hao mafundi unaoogopa ndio sisi hapa na huku jf tupo teh teh teh.
Fanya hivi chunguza ina kuwaje ukipachika headphone?
headphone zinafanya kazi freshi. tatizo ni speaka hazitoi sauti