Laptop Solar Charger-bei chee

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Laptop Solar Charger LY-K1028
matumizi
1.laptops,
2.cell phones,
3.digital cameras
4.MP4,MP3 solar charger
images
Z
2Q==

kama unahitaji tuwasiliane

engmtoleraibrahim@gmail.com
bei TZS 300000/=
PUNGUZO LIPO
 
Charger laki tatu? Itakuwa una huruma sana kwanini ushuze milion moja na laki tano?
 
Wewe noma bei ya charger inakaribiana na bei laptop!! tumia mwenyewe na ndugu zako...
 
Charger laki tatu? Itakuwa una huruma sana kwanini ushuze milion moja na laki tano?

mkuu
kumbuka hii ni solar charger na unaweza kuitumia mahala popote pale pawe pana umeme ama hakuna umeme,utacharge simu,camera na kwa wale wa vijijini tatizo la kupeleka simu mjini ikachajiwe halipo tena,utafanya biashara na watu wa vijijini kwa kuchaji simu zao,laptop,mp4,mp3 na camera
kwa bei ya laki 3 tu
bei ni chee sana
 
Wewe noma bei ya charger inakaribiana na bei laptop!! tumia mwenyewe na ndugu zako...

soma na uelewe mkuu,hiyo ni SOLAR CHARGER na si kama ulivyoielewa,hapa simaanishi
images

tuwe waelewa jamani
 
Wewe noma bei ya charger inakaribiana na bei laptop!! tumia mwenyewe na ndugu zako...
ndio maana tunaumizwa sana watz,unanunua kitu leo kesho hakifanyi kazi,tuwe na tabia ya kununua vitu vyenye ubora na hivi huwa ni ghari
 
ndio maana tunaumizwa sana watz,unanunua kitu leo kesho hakifanyi kazi,tuwe na tabia ya kununua vitu vyenye ubora na hivi huwa ni ghari

mkuu nakubaliana na wewe vifaa original vya solar ni gharama sana huwezi amini kijijini kwetu nguzo ya umeme iko mbali sana kama nguzo nane zilikuwa zinahitajika nikasema nichukue solar system nimfungie bibi yangu. ukienda kariakoo unaweza pata umeme wa solar wa nyumba yako nzima i mean bulb 13 switch socket 4 kwa tsh 700,000 ila nikagundua ni feki ila kuna jamaa agency from germany wao walikuwa wanavifaa original jumla ilikuwa ni tsh1800,000/= guarantee ya battery miaka mitano huwezi amini mpka leo bibi anakula umeme kila siku na kucharge simu yake mwaka wa tatu sasa sijabadilisha chochote mpka miaka mitano ndio nitachange battery pia wana fridge walikuwa wanauza tsh 3m, kwa huyo jamaa wala siwezi kushangaa kama ni vitu original, na siku hizi bongo tunaingia hasara kila siku bila kuangalia ubora wa vitu vyenyewe bora uingie gharama kubwa udumu nacho kuliko kununua kwa bei ndogo itakugharimu.
 
mkuu nakubaliana na wewe vifaa original vya solar ni gharama sana huwezi amini kijijini kwetu nguzo ya umeme iko mbali sana kama nguzo nane zilikuwa zinahitajika nikasema nichukue solar system nimfungie bibi yangu. ukienda kariakoo unaweza pata umeme wa solar wa nyumba yako nzima i mean bulb 13 switch socket 4 kwa tsh 700,000 ila nikagundua ni feki ila kuna jamaa agency from germany wao walikuwa wanavifaa original jumla ilikuwa ni tsh1800,000/= guarantee ya battery miaka mitano huwezi amini mpka leo bibi anakula umeme kila siku na kucharge simu yake mwaka wa tatu sasa sijabadilisha chochote mpka miaka mitano ndio nitachange battery pia wana fridge walikuwa wanauza tsh 3m, kwa huyo jamaa wala siwezi kushangaa kama ni vitu original, na siku hizi bongo tunaingia hasara kila siku bila kuangalia ubora wa vitu vyenyewe bora uingie gharama kubwa udumu nacho kuliko kununua kwa bei ndogo itakugharimu.

ni bora wewe umejionea mwenyewe,maana kuna watu humu huchukulia vitu rahisi rahisi na mwishowe wanaanza kuwalaumu wachina
tunapenda urahisi sana na hatupendi kununua vitu vyenye ubora.

ki ukweli vifaa vya solar ni gharama,initial investiment cost yake ni kubwa lakini utakaa nacho kwa muda
solar charger nilizonazo ni nzuri sana na zinaubora wa hali ya juu na hata gharama yake pia ipo juu
 
  • Thanks
Reactions: UKI
mkuu nakubaliana na wewe vifaa original vya solar ni gharama sana huwezi amini kijijini kwetu nguzo ya umeme iko mbali sana kama nguzo nane zilikuwa zinahitajika nikasema nichukue solar system nimfungie bibi yangu. ukienda kariakoo unaweza pata umeme wa solar wa nyumba yako nzima i mean bulb 13 switch socket 4 kwa tsh 700,000 ila nikagundua ni feki ila kuna jamaa agency from germany wao walikuwa wanavifaa original jumla ilikuwa ni tsh1800,000/= guarantee ya battery miaka mitano huwezi amini mpka leo bibi anakula umeme kila siku na kucharge simu yake mwaka wa tatu sasa sijabadilisha chochote mpka miaka mitano ndio nitachange battery pia wana fridge walikuwa wanauza tsh 3m, kwa huyo jamaa wala siwezi kushangaa kama ni vitu original, na siku hizi bongo tunaingia hasara kila siku bila kuangalia ubora wa vitu vyenyewe bora uingie gharama kubwa udumu nacho kuliko kununua kwa bei ndogo itakugharimu.

nielekeze ilipo hiyo kampuni ya kijerumani ya solar Mkuu
 
Back
Top Bottom