kemondaro 57
Member
- Mar 29, 2021
- 46
- 46
CHIEF MKWAWA na manju wengine wa IT naombeni ushauri wenu. Kwa budget isiyozidi 800k laptop gani itanifaa.
Ulitakiwa ujieleze vizuri, unahitaji kwa matumizi gani kabla ya kutaja bajeti uliyonayo.. especially kama sio mwenyeji mitaa hii ya TEHAMACHIEF MKWAWA na manju wengine wa IT naombeni ushauri wenu. Kwa budget isiyozidi 800k laptop gani itanifaa.
Alibidi aseme ni ya nini?
Cha msingi tujue kwa kazi gani?
Je typing tu na browsing?
Ama video editing na audio production?
Etc etc
Mtu akijua kazi zako ni rahisi kurecommend PC ipi itakufaa, hata kama unaanzisha library maana pia mziki wa kuconvert movies kwenda format tofauti sio rahisi pia
Ila kwa kawaida tu tafuta HP laptop yenye Core i5 , HDD 500, 2.4 Ghz processing speed, Battery 3hrs na ongezea External ya 1TB ukishaitumia hiyo kwa kazi zako next time utakapohitajo ya zaida utajua uende wapi maana tayari utakuwa ushajua zilivyo
Soma comment hii hapo juu inatosha ila hata ukipata corei 3 bebaItakuwa browsing na typing a lot. Hii itakuwa ni side hustle nikiwa nyumbani after work.Right now Kuna kazi nafanya Ila I'm intending to go my way.
Thanks a lot bro, sometimes huwa tunadhani haya mambo ni generation hii, but inafika time mambo yako yanakwama. Then inatubidi usimame kupambana that's my story, nimelazimishwa na wakati no way outSoma comment hii hapo juu inatosha ila hata ukipata corei 3 beba
Umekoasea kutag hilo jinaCHIEF MKWAWA na manju wengine wa IT naombeni ushauri wenu. Kwa budget isiyozidi 800k laptop gani itanifaa.
Kama una Connection na Mtu Usa ama unaweza kuagizishia OnlineCHIEF MKWAWA na manju wengine wa IT naombeni ushauri wenu. Kwa budget isiyozidi 800k laptop gani itanifaa.