LAPF waanza kuita watu kwenye interview

LAPF waanza kuita watu kwenye interview

Prince Akeem

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
886
Reaction score
382
Wakuu leo nilipigiwa simu kwa ajili ya interview, naona wameanza kuita.

Mimi nimeitwa katika nafasi ya ACCOUNTANT!
 
Hawa jamaa c wanatoa majina kwenye web yao na magazetini au wamebadili utaratibu siku za hv karibuni, wanapiga simu!
 
Duh kazi ipo, kama interview millennium tower basi hamtakua nyomi kama la ppf, tra au uhamiaji......hongera mkuu Mungu akusimamie
 
hawa wanoita kwenye usaili kwa kupiga simu mimi huwa sina imani nao, wangeweka majina tukaona.
 
hawa wanoita kwenye usaili kwa kupiga simu mimi huwa sina imani nao, wangeweka majina tukaona.

ppf au tra huwa wanatumka email sms au simu ni kitu cha kawaida.
Mimi sijui mtu ila nimeitwa nikajaribu bahati.Sio lazima wote tuitwe mkuu na sio lazima niliyeitwa nitapata.Sali tu mkuu
 
ppf au tra huwa wanatumka email sms au simu ni kitu cha kawaida.
Mimi sijui mtu ila nimeitwa nikajaribu bahati.Sio lazima wote tuitwe mkuu na sio lazima niliyeitwa nitapata.Sali tu mkuu

Nenda kakomae kamanda
 
wamenipigia tena wamesema ni DUCE interview. lazima ni mtu nyomi
 
hawa wanoita kwenye usaili kwa kupiga simu mimi huwa sina imani nao, wangeweka majina tukaona.
utaratibu wa kuweka majina kwenye magazeti sio mzuri , utaratibu wa kupiga simu na email ndio sahihi, mimi pia wameniita kwenye interview tar 8/7
 
Back
Top Bottom