Gharama zake ni afodabo usiwe na shaka, karibia tu ujongee kwa moyo mmoja!Gharama zikoje Mkuu na sisi wa huku vijijini tukifika mjini usiku tukapumzike hapo?
Gharama zake ni afodabo usiwe na shaka, karibia tu ujongee kwa moyo mmoja!Gharama zikoje Mkuu na sisi wa huku vijijini tukifika mjini usiku tukapumzike hapo?
hahaha napajua kipindi nikija huko Tanzania (DAR) maana mie niko huku Tanganyika, nilikuwa ninalala Landmark lakini msosi na vinywaji ni hapo Kinyaiya
Lahaula! hahahahahahha, kwa hiyo wewe vyakula, vinywaji hukuvipenda hadi bei za vyumba! hahahahahaha salaaaaaaaaaaaaaleeeeeeeeee!!!
Hongera, ulitumia kinga lakini?..mi nimewahi kulala hapo kwenye ka gesti kao ka buku 5 mwezi mzima huku nikila hapo hapo...enzi hizo ndio nimepata ajira Dar Na sijaanza kupokea mshahara wala nyumba ya kuishi...nimewakazia sana mademu hapo gesti ya kinyaiya...enzi hizo...
Uko sahihi mkuuHailipi kweli kweli maana zile hostel za magufuli zitachukua wengi sana
Tena waswahili ni watu wabaya sana. Ni wanafiki mno. Hao vijana usikute waliharibu vitu vingine kwa makusudi ili wamkomoeni kweli mkuu kwa hoteli kama ile kufanya hostel kweli alikurupuka
Hongera, ulitumia kinga lakini?
Hivi hiyo hotel ya Travertine bado inafanya kazi? Kwa anayejua tafadhariTravertine nayo vp
Haifanyi kazi ile labda ukumbi wake tu walikuwa jahazi taarab wanafanya showHivi hiyo hotel ya Travertine bado inafanya kazi? Kwa anayejua tafadhari
We msubiri polepole Mungu wakoAkibadili mawazo tena uje kutuambia.
Toa mfano wa sekta binafsi iliyowahi kubembelezwa na serikali mkuu.Walibp wakapgiwa. ..walijua watabembelezwa walitaka kuonyesha sekta bnafs imeshake ili kbano cha kodi kiachwe. ..wamerud wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu funguka basi vizuri kwa faida ya wengi humu kuhusu huyo hadija.
Biashara kama Ndoa vile....Ndo ufanya biashara huo, unachua risk, sometimes mambo hayaendi kama ulivyotarajia.