Landmark kufunga Hostel kurudisha Hotel August

Landmark kufunga Hostel kurudisha Hotel August

BigBro

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
3,631
Reaction score
11,890
Nilikuwa napiga kinywaji jana pale Landmark Hotel Ubungo Riverside, nikabadilisha mawili matatu na mmliki wake na akaniambia Hosteli hazilipi, anajilaumu kurupuka kuchukua uamuzi wa kufunga hotel.

Na kwa sasa ameanza ukarabati upya ili kuirudisha hoteli itakayoaanza kutoa huduma Agosti au mwanzoni mwa Septemba this year.

Wanafunzi wote wameshapewa notice ya kuondoka na kwa kiasi kikubwa anasema wanafunzi ni waharibifu, anachojivunia ni kwamba hakufunga bar na kumbi za harusi kwani ndizo zilizomlipa zaidi kuliko hosteli

SOURCE: Bigbro
 
hahaha napajua kipindi nikija huko Tanzania (DAR) maana mie niko huku Tanganyika, nilikuwa ninalala Landmark lakini msosi na vinywaji ni hapo Kinyaiya
Ila jamaa anajuta sana kuifunga hotel, kwani anasema amepata hasara kubwa, mimi nikamwambia lamsingi ulichukua risk na sasa imeshajua kosa lako hautafeli tena
 
hahaha napajua kipindi nikija huko Tanzania (DAR) maana mie niko huku Tanganyika, nilikuwa ninalala Landmark lakini msosi na vinywaji ni hapo Kinyaiya
Gharama zikoje Mkuu na sisi wa huku vijijini tukifika mjini usiku tukapumzike hapo?
 
Ila jamaa anajuta sana kuifunga hotel, kwani anasema amepata hasara kubwa, mimi nikamwambia lamsingi ulichukua risk na sasa imeshajua kosa lako hautafeli tena

mi naona kama janja ya nyani, ameshakwepa hotel levy sasa anatejea ipya. URA, fanyeni kazi yenu vizuri
 
Back
Top Bottom