mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Sitaki kuharibu thread ya watu, stink punk asshole.Umenielewa lakini?,hamna sehemu niliyosema kama disc3,imefail wewe,jaribu kuanza mwanzo wa huu uzi ndio uje, kamasi weee!
Sitaki kuharibu thread ya watu, stink punk asshole.Umenielewa lakini?,hamna sehemu niliyosema kama disc3,imefail wewe,jaribu kuanza mwanzo wa huu uzi ndio uje, kamasi weee!
Pathetic, greedy pig!!Sitaki kuharibu thread ya watu, stink punk asshole.
Tatizo mnakimbilia Yale ya petrol. Tafuteni ya diesel & make sure Ni ya u.k. Mfano tafuta old model td300Usijaribu kununua discovery utaliuguza kila siku. Hayo magari ni spana mkononi, safari moja shamba nyingine garage.
Ni magari mazuri kwa muonekano na nguvu ila hayafai yanaharibika kila siku. Kuhusu mafuta hayanywi yanabugia, ukiongelea discovery unaongelea cc4300 na zaidi, si mchezo. Labda yapo yenye uwezo mdogo fuatilia. Ushauri wangu usichukue discovery.
Ford ranger latest zimeanza 2012 hivi, nyingi bado zimo kwenye warranty, nafikiri unaelewa gari ikiwa kwenye warranty inakuwaje engine ikijifia. Kama unazungumzia za zamani hata toyota zipo kibao zimekufa mitaani na gari usipoitunza kufa ni kawaida si toyota wala nissan.Kwenye ford ranger napingana na wewe, jaribu kuzunguka huko uone zilivyokufa,nina watu wanne ambao nawafahamu walikuwa nazo, zote zimekufa engine,labda uniambie Amarok yule ndio kaka mkubwa wa p/up.
Hizo latest zinaitwa t6,ndio body type yake na engine inayotumia inaitwa duratech au puma engine,ambazo zipo katika landrover 110,sasa tafuta mtu mwenye hiyo 110landrover halafu muulize problem gani kubwa anayoi experience,au nenda sehemu kama arusha kwa wale watu wa safari waulize kwa nn hawaweki hizo landrover 110,kwenye fleet zao.Ford ranger latest zimeanza 2012 hivi, nyingi bado zimo kwenye warranty, nafikiri unaelewa gari ikiwa kwenye warranty inakuwaje engine ikijifia. Kama unazungumzia za zamani hata toyota zipo kibao zimekufa mitaani na gari usipoitunza kufa ni kawaida si toyota wala nissan.
Siko hapa kubishana. Na mimi maisha yangu yanaendeshwa na hayo madude. I'm out.Hizo latest zinaitwa t6,ndio body type yake na engine inayotumia inaitwa duratech au puma engine,ambazo zipo katika landrover 110,sasa tafuta mtu mwenye hiyo 110landrover halafu muulize problem gani kubwa anayoi experience,au nenda sehemu kama arusha kwa wale watu wa safari waulize kwa nn hawaweki hizo landrover 110,kwenye fleet zao. Engine ya Amarok bado haija diagnose any failure bro,usibishane am into these things physically.
Ok lets agree to diagree, cheersSiko hapa kubishana. Na mimi maisha yangu yanaendeshwa na hayo madude. I'm out.
Mkuu acha kulinganisha amarouk na vitu vya kijinga, ile Volkswagen ya mjerumani, weka mbali na watoto.Kwenye ford ranger napingana na wewe, jaribu kuzunguka huko uone zilivyokufa,nina watu wanne ambao nawafahamu walikuwa nazo, zote zimekufa engine,labda uniambie Amarok yule ndio kaka mkubwa wa p/up.
Najaribu kuwaeleza lakini hawanielewi,Amarok ni kaka mkubwa wa p/ups.Mkuu acha kulinganisha amarouk na vitu vya kijinga, ile Volkswagen ya mjerumani, weka mbali na watoto.
Discovere 5 a.k.a Discover Sports Nomaa yani hapo nilijitahid kulipiga picha View attachment 378780
Discovere 5 a.k.a Discover Sports Nomaa yani hapo nilijitahid kulipiga picha View attachment 378780