Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
150 bei ya CMC Posta pale Dar es Salaaam na hapo plate number tayar Gari nzur sana
Mnyamaaaa
Kwenye ford ranger napingana na wewe, jaribu kuzunguka huko uone zilivyokufa,nina watu wanne ambao nawafahamu walikuwa nazo, zote zimekufa engine,labda uniambie Amarok yule ndio kaka mkubwa wa p/up.mkuu hiyo gari haina shida kama mdau anavyoongea hapo juu ni gari bora, lina balance, confarble sana ndani, speed ipo na imara Landrover hiyo haili mafuta simu yangu inagoma ku upload picha zake inawezekana Bufa ajaelewa unazungumzia nini..Labdrover 3 au 4 Tdi Vhs hizo ndio gari mkuu usikatishwe tamaa hapa watu magari hawajui hata ukiuliza Ford Ranger XLT 2016 utaambiwa matatizo hayo wakati gari imevunja Record ya mauzo yaliyowekwa na Navara,Isuzu Kb,Toyota d4d...
Ingia www.befoward.jpwadau naomba mwenye uelewa au uzoefu wa gari aina ya Land Rover Discovery 4, anipe maelezo.. specifications, bei, fuel consumption, upatikanaji wa spare parts, na kama inafaa sana kwa barabara zetu..
Ford Ranger tatizo Pump pipe zikiingia hewa chafu Basi utaliaKwenye ford ranger napingana na wewe, jaribu kuzunguka huko uone zilivyokufa,nina watu wanne ambao nawafahamu walikuwa nazo, zote zimekufa engine,labda uniambie Amarok yule ndio kaka mkubwa wa p/up.
Ndio tatizo,halafu inatatizo la kupoteza memory,fuel gauge inaweza kukudanganya pia,in short wamefail kwenye version ya T6.Ford Ranger tatizo Pump pipe zikiingia hewa chafu Basi utalia
Aisee Mkuu Isanga family hapo nimekuelewa vizuri sana. Approximately hapo mtu ukiwa na 45mil discovery 3 unakua nayo mkononi sio chief? Ile Benz Ml 350 sijawahi kuvutiwa nayo kabisaa na nahis hata watu hawakuipenda kiviile maana hata mtaani hazionekani kwa saaana. By the way nna discovery 1 since 2007 Mkuu, nikitaka ku upgrade ntaku consult Mkuu maana mm landrover cars ziko kwenye damu kabisa.Mng'ato SA wamepunguza uzito pia lipo tofauti na tani tatu na ushee za UK na pia ulaji wa mafuta wa SA upo chini tofauti na ya UK ndio maana Msouth kauza sana Ulaya na Australia ingawaje yeye sio mmiliki na pia body lisiwe siraha ya kukudhuru pindi linapopata ajali mkuu mimi napendelea sana Mercedes Benz ila benz hawana gari ya juu iliyosimama kama Rand Lover ile ML 350 benz haipo confortable sana kama hizo Disco 3 na 4 hizo ni gari mzee tafuta kodi tuu boda ni 24milion kununua 3 ni 16 milion mpaka 20m ila disco 4 lipo juu mwakani litashuka bei hata used pia...
Aisee Mkuu Isanga family hapo nimekuelewa vizuri sana . wamefanya vzr kupunguza uzito maana ile ya UK ni 3.5 tonnes kwa uzito huo hata kuchanganyia kwenye speed inakua sio shughuli rahisi kutokana na uzito wake mkubwa. So Approximately hapo mtu ukiwa na 45mil discovery 3 unakua nayo mkononi sio chief? Ile Benz Ml 350 sijawahi kuvutiwa nayo kabisaa na nahis hata watu hawakuipenda kiviile maana hata mtaani hazionekani kwa saaana. By the way nna discovery 1 since 2007 Mkuu, nikitaka ku upgrade ntaku consult Mkuu maana mm landrover cars ziko kwenye damu kabisa.
Kuna clip niliziona Internet Amarok VS discovery 3 kwenye rough roads. Amarok ilijitahid Sana lkn mwishowe kuna sehemu ikawa inafail, discovery 3 hakuna sehemu ilishindwa kupita kabisaKwenye ford ranger napingana na wewe, jaribu kuzunguka huko uone zilivyokufa,nina watu wanne ambao nawafahamu walikuwa nazo, zote zimekufa engine,labda uniambie Amarok yule ndio kaka mkubwa wa p/up.
Bufa discovery ni gari nzuri sana ila hazitaki ubahili na mateso...ndio maana zinaonekana ni mbovu...hizi ni gari za kiingereza ni uzao mmoja na vogueUsijaribu kununua discovery utaliuguza kila siku. Hayo magari ni spana mkononi, safari moja shamba nyingine garage.
Ni magari mazuri kwa muonekano na nguvu ila hayafai yanaharibika kila siku. Kuhusu mafuta hayanywi yanabugia, ukiongelea discovery unaongelea cc4300 na zaidi, si mchezo. Labda yapo yenye uwezo mdogo fuatilia. Ushauri wangu usichukue discovery.
Apo ni vitu viwili tofauti, hiyo moja ni p/up na nyingine ji station wagon,kila moja inatamba kivyake,ndio maana nikasema Amarok ni kaka mkubwa wa p/ups,iko clip moja niliiona disc3 na prado zilikuwa zinavutana kila upande,prado ikawa inaburuzwa tuu mpaka aibuKuna clip niliziona Internet Amarok VS discovery 3 kwenye rough roads. Amarok ilijitahid Sana lkn mwishowe kuna sehemu ikawa inafail, discovery 3 hakuna sehemu ilishindwa kupita kabisa
Achana na kuelezea definition /nature za hayo magari. Taja wapi Amarok inatamba ambako disc3 ina fail?Apo ni vitu viwili tofauti, hiyo moja ni p/up na nyingine ji station wagon,kila moja inatamba kivyake,ndio maana nikasema Amarok ni kaka mkubwa wa p/ups,iko clip moja niliiona disc3 na prado zilikuwa zinavutana kila upande,prado ikawa inaburuzwa tuu mpaka aibu
Umenielewa lakini?,hamna sehemu niliyosema kama disc3,imefail wewe,jaribu kuanza mwanzo wa huu uzi ndio uje, kamasi weee!Achana na kuelezea definition /nature za hayo magari. Taja wapi Amarok inatamba ambako disc3 ina fail?
hiyo gari ukiagizia uk kwa bei yao ni kama mil94 0km