Lameck Airo anahujumu Halmashauri ya Rorya, achunguzwe

Lameck Airo anahujumu Halmashauri ya Rorya, achunguzwe

Kwanza historia ya lameck airo kabla haja wa mbunge mlikumbuka ni vitu gani alikuwa anafanya! Na aliupata ubunge lazima aendeleze rafu.
Ovaaa

Niliwahi kusikia tetesi kwamba alikua m..izi, kabla hajajiingiza kwenye biashara ya magendo na dhuluma huku akitokomea Kenya baada ya kufanya matukio kadhaa
 
Niliwahi kusikia tetesi kwamba alikua m..izi, kabla hajajiingiza kwenye biashara ya magendo na dhuluma huku akitokomea Kenya baada ya kufanya matukio kadhaa
Mimi miaka ya nyuma nishagumiana naye sana ana smuggle magendo toka kenya jamaa mafia sana nliposkiaga kaingia kwenye ubunge nikasema ayaaaaa watu wategeme maumivu tu
 
Na vipi kuhusu maadili ya uongozi kujipatia tenda kwa kutumia nafasi yake ilhali akihusika moja kwa moja kwenye bodi ya uzabuni. Je hili unaliona kama ni wivu?


Suala ni je hiyo picha ya shindiria inatosha kuonyesha kwamba mbunge amejipatia zabuni? Kama kuna uthibitisho na hilo hakuna shaka, lkn ukimtuhumu kuwa amejipatia tenda za barabara kwa sbb umeona mitambo yake ikifanya kazi kwenye miradi hiyo bado haitoshi kuwa ni kielelezo tosha cha kumtuhumu

Nikitegemea kwa tuhuma zilivyo na kwa namba huyu mleta mada anavyoonyesha anauhakika na anachosema alipaswa aweke nakala ya mkataba japo mmoja unaoonyesha kuwa Airo amechukua tenda za Hakmashauri ya Lorya, maadili ya uongozi yako wazi na hilo likithibitika amekiuka maadili taratibu zinafuata
 
Chueni hili kama funzo ndg watanzania, lowasa kamwaga fedha misikitini na makanisani je tutegemee nini pindi akiingia ikulu, lazima aanze kurudisha za kwake kwanza, hakuna vya bure ndg zangu, jamaa aliwamwagia hela kipindi cha kampeni sasa anapozichua za kwake tunalalama, ha ha ha kweli watanzania tumekua nyumbu kama alivyosema mwana jf mmoja, tunaliwa na mamba, tunaliwa na simba lkn hatubadili njia tunapita palepale na tutaendelea kuliwa.tujipe pole kwa ujinga wetu.
 
Mimi miaka ya nyuma nishagumiana naye sana ana smuggle magendo toka kenya jamaa mafia sana nliposkiaga kaingia kwenye ubunge nikasema ayaaaaa watu wategeme maumivu tu

Huyu Lameck Airo ni mtu wa kuogopwa kama ukoma na genge lake la Wakina namba tatu. Kila mradi mkubwa ni wao, na hawa watu wanajiona matajiri balaa kutokana na wizi wao ndani ya Almashauri
 
Mbunge wa Rorya, Lameck Airo akishirikiana na Namba tatu, Ochele, pamoja na Ongujo wamegeuza halmashauri ya Rorya kama shamba lao. Wanachukua tenda zote, kwa ajili ya makampuni yao. Lameck Airo amechukua tender ya kutengeneza barabara zote wilayani ambako magrader yake ndio inayofanya kazi za barabara bila kujificha. Aliyejaribu kuzungumzia hili swala alitishiwa maisha na Ongujo ambaye ni mshirika wa Lameck.

TAKUKURU na taasisi zingine ndani ya chama na serikali, hii ni ukiukwaji wa maadili ya utumishi. Iweje mbunge ajipe tender kwenye halmashauri?

Lameck na namba tatu wameiua CCM jimboni Rorya kutokana na tabia zao za kibabe. Katika vijiji karibia 52, CCM imeambulia vijiji viwili tu na CDM kuchukua nyingine. Matusi yao kwa wananchi imevuka mipaka. Kinana, chukueni hatua, vinginevyo hamna chenu Rorya. Chunguzeni hii ya Airo kujipa tender kwenye halmashauri.

Hivi bado kuna wapinzani? Maana hao ndo wanatucheleweshq
 
Back
Top Bottom