Mbunge wa Rorya, Lameck Airo akishirikiana na Namba tatu, Ochele, pamoja na Ongujo wamegeuza halmashauri ya Rorya kama shamba lao. Wanachukua tenda zote, kwa ajili ya makampuni yao. Lameck Airo amechukua tender ya kutengeneza barabara zote wilayani ambako magrader yake ndio inayofanya kazi za barabara bila kujificha. Aliyejaribu kuzungumzia hili swala alitishiwa maisha na Ongujo ambaye ni mshirika wa Lameck.
TAKUKURU na taasisi zingine ndani ya chama na serikali, hii ni ukiukwaji wa maadili ya utumishi. Iweje mbunge ajipe tender kwenye halmashauri?
Lameck na namba tatu wameiua CCM jimboni Rorya kutokana na tabia zao za kibabe. Katika vijiji karibia 52, CCM imeambulia vijiji viwili tu na CDM kuchukua nyingine. Matusi yao kwa wananchi imevuka mipaka. Kinana, chukueni hatua, vinginevyo hamna chenu Rorya. Chunguzeni hii ya Airo kujipa tender kwenye halmashauri.
TAKUKURU na taasisi zingine ndani ya chama na serikali, hii ni ukiukwaji wa maadili ya utumishi. Iweje mbunge ajipe tender kwenye halmashauri?
Lameck na namba tatu wameiua CCM jimboni Rorya kutokana na tabia zao za kibabe. Katika vijiji karibia 52, CCM imeambulia vijiji viwili tu na CDM kuchukua nyingine. Matusi yao kwa wananchi imevuka mipaka. Kinana, chukueni hatua, vinginevyo hamna chenu Rorya. Chunguzeni hii ya Airo kujipa tender kwenye halmashauri.