trust me wiselady,huyu kaweka lkn hajui maana yake na nina uhakika SIO MEMBER WA FREEMASSON.huyu ni bendera fuata upepo tu.memberz wa hiyo organization inasadikiwa kuwa ni watu wazito na matajiri wakubwa duniani kama kina bush,obama,jay z na wengine wengi,sasa mnataka kuniambia huyu LAmAR sijui naye yuko ktk class moja na hawa niliowataja?definetly not!