mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
Baada ya uchaguzi kuahirishwa, jana na leo ni kamata kamata kwa wafuasi wa Chadema kwa agizo la Mh kamani.... Kumbukeni nyadhifa zetu tumewaazima sio za kudumu
Tukutane 2015
Tukutane 2015
sio kweli kuna gari ya watalii imeibiwa betri katika guest ya mchele askari ndo wanaendesha msako, uchaguzi unaendelea poa tu mie nipo hapa tangu juzi nimeleta watalii pale nyatwali lorge.