Lakini Mama...

Lakini Mama...

zoezi la ufukuaji makaburi linaendelea tunaomba ushirikiano
wenu wakuu
 
Ana tabia gani kwani mkuu? Na unafanya jitihada gani usiwe kama yeye?

Kumbuka wahenga walisema, the apple doesn't fall far from the tree.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumesomeshwa na kulelewa na mama tu tangu darasa la kwanza hadi chuo kikuu(mimi na kaka yangu),nadhani mpaka hapo utakuwa umepata picha kamili. Kila kitu ni mama tu!
 
nimesoma vizuri sana, aisee Mwenyezi Mungu atujalie uwezo wa kuwa na tabasamu katika kil ahali
 
Well said Bro. Heshima kwa mama zetu. Mungu awabariki.
 
Back
Top Bottom