Lake V fish monger tunauza samaki wabichi,dagaa na senene

Lake V fish monger tunauza samaki wabichi,dagaa na senene

Isack inno B

Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
97
Reaction score
51
Lake V fish monger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI fresh wabichi directly from BUKOBA(ZIWA VICTORIA) bei zetu ni

1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara Tsh 8000 na sato Tsh 10,000
2. Samaki kwa bei ya Jumla kwa kilo sato ni Tshs 8500 na sangara ni Tsh 6800 (kuanzia kilo 100 na utaletewa ulipo kwa wakazi wa Dar au unaweza kufuata ofisini mwenyewe)
3. Dagaa za kukaanga 1000 pakti,
4. Senene zipo za bei 7000

karibu uje upate samaki wenye ubora ya hali ya juu, dagaa na senene za kukaanga zenye viungo kama vitunguu swaumu, pilipili, limao.

Maduka yetu yapo Kimara Tembon na mbagala zakhem mashine ya maji.

Tunatoa huduma ya kukuletea mzigo mpaka ulipo kwa wakaz wa Dar es salaam endapo utachukua kuanzia kilo KUMI.

Mazingira ni masafi na ya kuvutia. karibuni sana..kwa mawasiliano wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:-
0628660132, 0718249862 na 0752714965..




KARIBUNI SANA.
 
Wateja wetu karibuni kwa huduma ya samaki wbichi wenye viwango aina ya sato na sangara kutoka BUKOBA, pia kwa oda ya jumla kwa samaki.
Pia senene na dagaa za kukaanga zinapatikana katika maduka yetu yaliyopo Kimara Temboni njia ya kwenda saranga na dula lingine lipo Mbagala Zakhem njia ya kuelekea shule ya msingi NZasa kituo mashine ya maji.
Kwa mawasiliano tucheck kwa namba 0628 660 132 au 0718 249 862
 

Attachments

  • vachino.jpg
    vachino.jpg
    9 KB · Views: 28
Back
Top Bottom