wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Huyu mtumishi wa mungu huwa mahubiri yake niya kipekee sana yaani hana mbwembwe kama za viongizi wengine wale wapenda shughuda na maigizo yaani namsikiliza hapa kwenye mahubiri yake yanayoendelea viwanja vya kawe yaani huwa nafarijika sana,
Na sijawahi kumsikia akiponda au akiingia kwenye siasa wala akazangumzia dini nyingine tofauti na wale wengene wanaopenda kurushiana vijembe vya hapa na pale kisiasa na kidini.
Mungu ambariki sana huyu mtumishi wake christofer mwakasege aendelee kuwa na moyo huo huo.Amen.
Na sijawahi kumsikia akiponda au akiingia kwenye siasa wala akazangumzia dini nyingine tofauti na wale wengene wanaopenda kurushiana vijembe vya hapa na pale kisiasa na kidini.
Mungu ambariki sana huyu mtumishi wake christofer mwakasege aendelee kuwa na moyo huo huo.Amen.