najivunia sana tena sana. Swali langu kwanini unifuate wakati hujafanya maamuzi sahihi. Jipime nipime ndio unifuate na sio kufanya maamuzi ya harakaharaka kunifuata
ni pm nikwambie mavitu
Tabia ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke.huo muda wa kufanya assessment huku kidudu kimesimama unadhani rahisi? Jaribu kuwa mwanaume Kama utaweza
Tabia ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke.huo muda wa kufanya assessment huku kidudu kimesimama unadhani rahisi? Jaribu kuwa mwanaume Kama utaweza
hapo ulipo una mtazamo wa kike ,mfumo unaoendesha akili yako ni wa kike ,hushangai kwanini wanaume weng hawawazi hvyo? au unafikiri wamekosewa kuumbwa? sasa ungekua mwanaume ndo ungekua bonge la mshenzi.