Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,955
- 27,485
mbowe ameleta siasa msibani
hawezi kuzikwa kimila huyo ni mkristoKama ambavyo tulielezwa hapo awali
Kuwa Waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa angezikwa kimila kwa mujibu wa kabila la Kimasai.
Ambapo angepakwa mafuta ya kondoo kisha wajukuu na watoto nao kupakwa na Mwisho mwili wake kuzikwa ukiwa umekalishwa kwenye Kigoda hali hiyo imekuwa tofauti!
Lowassa ambaye ni Kiongozi(Laigwanani) wa jamii hiyo aliwaunganisha jamii ya kimaasai kwa upande wa Afrika Mashariki mpaka Ethiopia kutambuana na kushirikiana katika maswala ya maendeleo.
Jambo hilo limeshindikana kuzikwa kimila na Malaigawanani
ambao wameweka kambi kijijini Ngarash toka juzi wakiongozwa na Laigwanani wa Tanzania Izack Ole Kisongo Meijo
Baada ya mbele ya kaburi la lowassa akiongozana na malaigwanani wengine walimfanyia ibada ya maombi tu kwa lugha ya Kabila la kimaasai na kutamka familia imeomba waheshimu Imani ya Laigwanani lowasa ya Kilutheri.
Na hivyo hawatapaka mafuta.
Ole Kisongo ni Laigwanani wa jamii ya Kimasai ambae makazi yake yako Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Mkuu Kiranga wewe watatumia taratibu gani? Maana haupo kote kote....Hawa watu wakiingia kwenye Ukristo na Uislamu hizo mila kufuata inakuwa vigumu.
Wanaweza kuigiza hapa na pale kisiasa, lakini kwenye kuzikwa wanarudi kanisani au msikitini.
Mimi nitafanyiwa aquamation.Mkuu Kiranga wewe watatumia taratibu gani? Maana haupo kote kote....
Au utazikwa umekaaa na upakwe mafuta ya kondooo na ngozi
TELL THEM MBOWEEEEEEEEE!!!!
Mkuu ikitokea umetangulia siku moja na wewe utazikwa kwa imani zetu hizi au tutafukia na kusepa?Hawa watu wakiingia kwenye Ukristo na Uislamu hizo mila kufuata inakuwa vigumu.
Wanaweza kuigiza hapa na pale kisiasa, lakini kwenye kuzikwa wanarudi kanisani au msikitini.
Kufukia mnavyofukia, kwa maoni yangu, ni kuharibu mazingira.Mkuu ikitokea umetangulia siku moja na wewe utazikwa kwa imani zetu hizi au tutafukia na kusepa?
Nani huyo?,taja jina lake usiogope,tutakulinda[emoji41][emoji41][emoji41]Naniliu atakua alizikwa kimila, make mazishi yalifichwa.... Kushtuka tayari chombo ina mfuniko
Mpo nyuma yangu sio 🤣🤣🤣Nani huyo?,taja jina lake usiogope,tutakulinda[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Sumae sio masai yule ni garmaaAisee.
Sumaye naye vipi sijamsikia wakati ni mmasai mwenzake.
Duh!!! That process takes between six to 20 hours to complete ( to break the body to ashes). That's too long agonising moment for loved ones to endure.Kufukia mnavyofukia, kwa maoni yangu, ni kuharibu mazingira.
Mimi nitafanyiwa aquamation.
Aquamation has no ashes.Duh!!! That process takes between six to 20 hours to complete ( to break the body to ashes). That's too long agonising moment for loved ones to endure.
Aquamation ndio nini hicho mkuuKufukia mnavyofukia, kwa maoni yangu, ni kuharibu mazingira.
Mimi nitafanyiwa aquamation.
Unawekwa kwenye maji maalum yenye alkali zinayofanya mwili uvunje kemikali zote na ku decompose ndani ya masaa tu.Aquamation ndio nini hicho mkuu
Ole Kisongo ndio kapewa jina la sehemu aliyozaliwa.Kisongo ni ya zamani sana.Ole Kisongo. Nafikiri pale Kisongo panatokana na jina lake.
Sumaye sio mmasai.Aisee.
Sumaye naye vipi sijamsikia wakati ni mmasai mwenzake.
Aisee.
Sumaye naye vipi sijamsikia wakati ni mmasai mwenzake.
Rip Edward......Kama ambavyo tulielezwa hapo awali
Kuwa Waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa angezikwa kimila kwa mujibu wa kabila la Kimasai.
Ambapo angepakwa mafuta ya kondoo kisha wajukuu na watoto nao kupakwa na Mwisho mwili wake kuzikwa ukiwa umekalishwa kwenye Kigoda hali hiyo imekuwa tofauti!
Lowassa ambaye ni Kiongozi(Laigwanani) wa jamii hiyo aliwaunganisha jamii ya kimaasai kwa upande wa Afrika Mashariki mpaka Ethiopia kutambuana na kushirikiana katika maswala ya maendeleo.
Jambo hilo limeshindikana kuzikwa kimila na Malaigawanani
ambao wameweka kambi kijijini Ngarash toka juzi wakiongozwa na Laigwanani wa Tanzania Izack Ole Kisongo Meijo
Baada ya mbele ya kaburi la lowassa akiongozana na malaigwanani wengine walimfanyia ibada ya maombi tu kwa lugha ya Kabila la kimaasai na kutamka familia imeomba waheshimu Imani ya Laigwanani lowasa ya Kilutheri.
Na hivyo hawatapaka mafuta.
Ole Kisongo ni Laigwanani wa jamii ya Kimasai ambae makazi yake yako Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.