Mimi huyo nilishamstukia mapema sana.
Nadhani kaamua kutengeneza bifu na Clouds ili auze album yake ya 'Nothing But the Truth'.
Kesho asubuhi atakuwa Times FM kwenye kipindi cha Sunrise (kama sijakosea) kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo hilo la bifu na Clouds.
Unakumbuka bifu la Kanye West na 50 Cent back in 2007? Jamaa wali-top Billboard 200 na waliuza vizuri sana katika wiki ya kwanza.
Uwezekano wa kupatanishwa upo...ila sio rahisi...sijawaona wenye busara......Mkuu THE BOSS....hii biashara kwa hapa bongo ni ngumu saana........hawa jamaa wamebana kila kona........kama sio mjanja (wanamuziki) baada ya kupotezwa utaishia kuuza Gongo tu..........yawezekana kafanya kaujanja..........lakini siamini hivyo....binafsi naona jamaa walibana....kumbuka angekuwa nayo shughuli yake...........ingenganganiwa na makampuni ya simu....vinjwaji..nk....naona kila alipobisha hodi akakuja hawa wandugu wameshamwaga sumu...ndio na yeye alihamua kumwaga mboga hadharani....
.........Hii ngoma ni zaidi ya tuijuavyo...jamaa wamebana kweli kweli.................sector ya mziki \Bongo imeingiliwa wanayoiendesha na kuitawala.........hawajui hata kupiga gitaa.......lakini ndio wanaonufaika......ukienda Uganda au hata Kenya............. kama unakipaji.........ni rahisi kupata mkataba mnono na makampuni makubwa kama ya simu nk.....ukija hapa kwetu hata kama unakipaji kama huwajui ...hao...wakina Don Runge na wenzake.hufiki popote
Ni kweli.....wanamuziki wa bongo wanamatatizo yao...kama kutokujua LUGHA.......kuendekeza starehe....bangi...madawa ya kulevya.....kukosa elimu ya maisha nk....hii sio sababu ya wachache watumie mapungufu yao ili kujinufaisha
Huyu dada pamoja na SUGU nawachukulia kati ya jamii ndogo ya wanamuziki walioamka na...kujitambua.....na kueleza uma yaliyo moyoni................kwanini RUGE na KUSAGA tu walalamikiwe?????????????
Asante kwa kuchangia
ni hivi nijuavyo mimi ili kuwashinda kina Ruge na Kusaga ni lazima msanii au wasanii
wawe wale ambao ni top kwa wakati huo
sio msanii ambae amesha chuja au kuanza kuchuja
Kwa miaka kumi angeweza fight better labda five years ago sio now
ndo maana Ruge kamjibu kwa nyodo mno
but angekuwa ni Diamond ndio anawatangazia vita ungeona panic ya kina Ruge...
Jaydee angeweza then kuliko now ingawa tusubiri tuone
hata Sugu kilichomfanya asiweze sana ni hilo
hayuko kwenye peak......but mtu kama Diamond leo anaweza pata wadhamini bila kupitia kwa Ruge
Mkuu umenene vyema
Kumbuka mtu kama Diamond hawezi kwa sasa kwa sababu anapata vijipesa....kitu ambacho najua anacholipwa sio stahiki yake...(kukosa elimu na kushindwa kusoma alama za nyakati)
Kwa huyu dada nahisi kikubwa ni ......frustrations.......na ukiangalia yale maelezo yake yaelekea jamaa walikuwa wameshaanza ......sabotage.... shughuli yake.....kila alipowagongea hodi wadhamini walimbania...hisia zangu...alipojna hivyo ndo akahamua kulipuka....na kwakufanya hivyo........watu wanamuonea huruma...ndo maana ticket zinanunulika
na kwa jinsi hali ilivyo wasanii TZ hata Yesu arudi hawawezi ungana wapiganie haki zao....watakuja na kuondoka...kwa ushauri tu....wanatakiwa kipindi wako kileleni...wahakikishe wanawekeza hasa...na sio kwenye music....biashhara ambazo ni tofauti na mziki kwa kufanya hivyo akichuja atapata pa kukimbilia............kwani sio serekali inaweza wachomoa kwenye Mikono ya hao ma don
Uko dunia gani wewe? Sam Machozi alisharudi kwa Jide, tena kwa kubembelezewa sana na mama yake. Issue nzima ilioneshwa EATV
Mimi huyo nilishamstukia mapema sana.
Nadhani kaamua kutengeneza bifu na Clouds ili auze album yake ya 'Nothing But the Truth'.
Kesho asubuhi atakuwa Times FM kwenye kipindi cha Sunrise (kama sijakosea) kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo hilo la bifu na Clouds.
Unakumbuka bifu la Kanye West na 50 Cent back in 2007? Jamaa wali-top Billboard 200 na waliuza vizuri sana katika wiki ya kwanza.
Ngabu huwa nakuheshimu sana kwa hili umekuwa biased. Jiulize kwa nini hawa walalamikiwe kila siku? Ndiyo jide anaweza kuwa amekwisha hivyo kuwa frasturated lakini lazima kuwe na chembe ya ukweli. Wanamziki wa Uganda mambo yako vizuri, why not Tanzania? Lazima kuna kitu tu?. Na kwa clouds aka mawingu kama wanafanya hivyo ipo siku watadondoka tu. Wakumbuke every oppressive power creates its own distruction.
Una uhakika wanamuziki wa Uganda mambo yao yako mazuri kihivyo? Kama wa Marekani wapo wanaoshtaki mameneja wao, record labels zao, kushitakiana wao kwa wao, na kadhalika ndiyo itakuwa hao wa Uganda?
Watu wanashindwa kutambua jambo moja: biashara ya muziki ni ngumu sana na haina guarantee ya longevity hata kidogo. Wale wanamuziki wa Marekani unaowaona wana longevity ni wale ambao wame-diversify shughuli zao na si kutegemea muziki tu.
Mwanamuziki kuendelea kubaki juu kwa muda mrefu ni jambo gumu sana. Na pale anapoona ule umaarufu na mafanikio aliyokuwa nayo hapo nyuma hana tena ndo mambo ya finger pointing na blame yanapoanza. Na ndo haya ya Jide na Clouds.
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
.... Ungekuwa krb hapa ningekusindikiza na kofi.
Asante kwa kuchangia
ni hivi nijuavyo mimi ili kuwashinda kina Ruge na Kusaga ni lazima msanii au wasanii
wawe wale ambao ni top kwa wakati huo
sio msanii ambae amesha chuja au kuanza kuchuja
Kwa miaka kumi angeweza fight better labda five years ago sio now
ndo maana Ruge kamjibu kwa nyodo mno
but angekuwa ni Diamond ndio anawatangazia vita ungeona panic ya kina Ruge...
Jaydee angeweza then kuliko now ingawa tusubiri tuone
hata Sugu kilichomfanya asiweze sana ni hilo
hayuko kwenye peak......but mtu kama Diamond leo anaweza pata wadhamini bila kupitia kwa Ruge