Lady Jaydee alivyofunika......

Aibu yao Clouds media poleni sana kutumiwa na mabosi wenu
 
hadi huruma kuna watangazaji wengine wa Redio ya wafu yaani walikuwa wanaipromote hiyo show ya Mwana Fatuma,ila hawakuwa na jinsi kwa sababu boss kasema,mioyoni mwao naamini kabisa walikuwa na Anakonda
 










Source : clouds FM :heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh: aibu yahooooooooooooooooooooo:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:

Nakala kwa Nyani Ngabi, TANMO Ruge :A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112:


Hapi komando Jide kawabeep:A S-rap::A S-rap::A S-rap::A S-rap::A S-rap:
 
Watu wenye akili za Nyani Ngabu tu ndio wanaweza kufanya aliyofanya Ru Gay,na Bi Fatu!
kwendeni zenu huko!
 
Ukitaka kujua uwezo wa Lady JD sikiliza hapa wakati anapokea kutoka kwa Matonya,usisikilize ile anavyosema unajua nilikupenda, ila sikiliza wakati anavyomuitikia....

 
Last edited by a moderator:
Inapendeza kama jamii imetambua kwamba jide anaweza na kuamua kumpa shavu. kwel imekaa vzuri na nimtakie mafanikio zaid na zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…