Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

kedrick

JF-Expert Member
Apr 25, 2015
5,060
4,870
Inadaiwa kuwa msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa akina dada, Binti machozi, Komando, Anaconda, Lady Jaydee amefunga ndoa weekend hii.

upitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honeymoon huko Zanzibar.

327fecbe743ceabe3afb0136b3bd157c.jpg

2f1f45b7a0fc6ddd4c97543ee292c4b3.jpg
 
huyo alisha funga ndoa ila sasa anstarehe tu. Hivi alishalipa mkopo wa benki au aliuziwa dhamana zake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom