Ulitaka wawe vipi na wewe?Sio wote wanaopenda mitukunyema,hebu tupumzisheni na miili yetu.vifito sasa!!!!
Hahahaaaa! Ila kweli mana.Huyu naye asije kuwa mkojozaji kama aliyepita.
Isijekuwa ni video ya wimbo wake mpya...mbn picha hazisadifu tukio la ndoa..
Ulitaka wawe vipi na wewe?Sio wote wanaopenda mitukunyema,hebu tupumzisheni na miili yetu.
Ishakuwa taabu...
msamiati mpya sio?Wenyewe wanaita mironjo.
Kwani wa kaskazini sio wanawake?hahahahahahaaaa mkuu nawe wa type kaskazini ee?