Ladies: Your are very trick when hunting for Men

Ladies: Your are very trick when hunting for Men

matani na urafiki wa kawaida kwa opposite sex usiokuwa na mipaka ukizidi UNA GHARAMA yake. Watch out... The devil is around the corner
 
we mwenzangu unakwama nini?...the way navyokuelewa, is u got a thing for this ladyn and unatakiwa wewe umchede next keep it real as usual and remember it should be out of office hours..just once usifanye mazoea
 
Mimi sijakuelewa, umetuhadithia ili tujue wanawake ni wajanja, au unataka uambiwe ukamgegede vipi? Kwa maana maswali uliyoyauliza kwenye mwisho wa hadithi yako umeshajijibu mwenyewe kwenye heading ya thread yako. Wazo kuu la hii thread yako ilikuwa ni nini hasa?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Huyo anataka kugegedwa hana lolote sasa uamuzi ni wako kama vipi ngoja mzee wa mgegedo akushauri..!
 
Watu wengi wanaongea... Tena sana ila kiuTendaji ni wabovu..™
Believe me wanawake wengi wanasema wanaume ni wadhaifu..- prove them wrong..©
 
Acha ushamba wewe nenda kapige show unataka uelezwe vipi?vile vile wewe unaonakana sitki nataka mara umsifie demu kaumbika mara unataka ushauri piga show mwanaumeeee

Mkulu
Kama kuna avatar nimetokea kuzipenda ni yako...wikiendi njema
 
Aisee hii imenitoa kijasho chembamba, na sikuitegemea,



Je huyu dada si ananiweka katika majaribu???????, Mnaonaje, au anataka kunionyesha tu, na hakuna linguine zaidi???????

Qanini uvuke mto kabla ya kuufikia?
Ameomba uende ukazione; fullu stopu.
Shida yako nini sasa; nenda ukazione.​
Yatakayofuata huko "Deal with them accordingly"
Qani imesemwa ukishiqa shikamana.
Kama atataka kugegedana; gegeda
Dhambi kubwa kumkatalia mwanamke anayekutongoza.

Bazazi!
 
mwambie aivae apige picha then atakuletea picha, kama shida yake ni kukuonyesha angalia picha , c kila mtego unase hata kama umeuona
Au avae aende nayo ofisini peke yake bila guo nyingine ili na wengine waone ilivyompendeza.
 
Back
Top Bottom