Chimps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 559
- 356
Aisee hii imenitoa kijasho chembamba, na sikuitegemea,
Ofcn kwetu kuna dada kaumbika kwelikweli na mke wa mtu ( wanaishi ila hawajafunga ndoa), tumezoeana kwa wingi wa utani na huwa ananiita mzee wa viwango kwasababu anajua mademu ninao wazimia (ila siwachukui, nawasifia tu, maana mm nimeoa) huwa anawakubali sana. Anapenda kunishauri sana kuhusu maisha na mambo mengine na mimi pia namshauri.
Kuna siku nilimuudhi my wife, siku hiyo nikawa na mawazo sana maana niliona nimemkosea mke wangu.
Yule dada akaja kunijulia khali maana aliniona nimepoa sana. Nikamwambia nimemkosea mke wangu na hapa nawaza nimpelekee zawadi gani ili aweze kunisamehe. Akaniambia hiyo ni rahisi sana. Tulipotoka kazini jioni akanipeleka maduka Fulani ambayo yanauza zawadi za kila aina. Nilinunua zawadi za wife, wakati tunataka kuondoka hapo dukani akaona CHU..P. akaniambia anazipenda sana ila hana ela ya kutosha. Kidume nikazama kwa wallet, nikachomoa noti nikazilipia. Tumerudi ameshika njia ya kwao na mimi nikasepa kwetu.
Msala wangu na wife ukaisha vizuri tu. After two days akaja kunishukuru kwamba zile Pichu zinamuenea vizuri na zinampendeza. Mimi nikamshukuru pia kwa kunichagulia zawadi nzuri za wife wangu, then nikampotezea.
Sasa leo yamenikuta, katika kutaniana kama kawaida, kaibuka na usemi ambao ameutaja ila nimeshtuka na yeye kashtuka ila naona anaendelea kurudia kila tukianza maongezi. Anasema hivi Best zile pichu zilinipendeza sana, sasa utaziona lini ili ushuhudie mwenyewe nikiwa nimevaa????, Leo pia kanifunulia kitop kidogo ili nione, ila nikamzuia kwa kuwa tuko ofcn.
Je huyu dada si ananiweka katika majaribu???????, Mnaonaje, au anataka kunionyesha tu, na hakuna linguine zaidi???????
Ofcn kwetu kuna dada kaumbika kwelikweli na mke wa mtu ( wanaishi ila hawajafunga ndoa), tumezoeana kwa wingi wa utani na huwa ananiita mzee wa viwango kwasababu anajua mademu ninao wazimia (ila siwachukui, nawasifia tu, maana mm nimeoa) huwa anawakubali sana. Anapenda kunishauri sana kuhusu maisha na mambo mengine na mimi pia namshauri.
Kuna siku nilimuudhi my wife, siku hiyo nikawa na mawazo sana maana niliona nimemkosea mke wangu.
Yule dada akaja kunijulia khali maana aliniona nimepoa sana. Nikamwambia nimemkosea mke wangu na hapa nawaza nimpelekee zawadi gani ili aweze kunisamehe. Akaniambia hiyo ni rahisi sana. Tulipotoka kazini jioni akanipeleka maduka Fulani ambayo yanauza zawadi za kila aina. Nilinunua zawadi za wife, wakati tunataka kuondoka hapo dukani akaona CHU..P. akaniambia anazipenda sana ila hana ela ya kutosha. Kidume nikazama kwa wallet, nikachomoa noti nikazilipia. Tumerudi ameshika njia ya kwao na mimi nikasepa kwetu.
Msala wangu na wife ukaisha vizuri tu. After two days akaja kunishukuru kwamba zile Pichu zinamuenea vizuri na zinampendeza. Mimi nikamshukuru pia kwa kunichagulia zawadi nzuri za wife wangu, then nikampotezea.
Sasa leo yamenikuta, katika kutaniana kama kawaida, kaibuka na usemi ambao ameutaja ila nimeshtuka na yeye kashtuka ila naona anaendelea kurudia kila tukianza maongezi. Anasema hivi Best zile pichu zilinipendeza sana, sasa utaziona lini ili ushuhudie mwenyewe nikiwa nimevaa????, Leo pia kanifunulia kitop kidogo ili nione, ila nikamzuia kwa kuwa tuko ofcn.
Je huyu dada si ananiweka katika majaribu???????, Mnaonaje, au anataka kunionyesha tu, na hakuna linguine zaidi???????