Ladies only - Win a date with Ngabu

Ladies only - Win a date with Ngabu

Halo halo halo.I wish kama ningekuwa mdada ningeshiriki kwenye hili shindano..Shindano linahusu nini?likoje?
 
Vigezo ni kama ifuatavyo:

-Umri kati ya miaka 25-32
-Urefu kati ya 5'3 - 5'8
-Complexion yoyote ile
-Dini yoyote
-Elimu ya chuo kikuu (GPA isiwe chini ya 3.0)
 
Halo halo halo.I wish kama ningekuwa mdada ningeshiriki kwenye hili shindano..Shindano linahusu nini?likoje?

Wewe mara uje humu kama demu mara uje kama njemba....weee Semenya nini? Una chromosomes gani wewe? XXY?
 
Hahaaaaaaaaaaaa...That's wat's up babu.......Sikuwezi ndugu yangu wewe..............
 
haya, kazi kwa wadada wanaotaka kuwin hiyo date. all the best wadada
 
Nataka kuanzisha shindano la akina dada - Win a date with Ngabu. Wadau mnasemaje....

U r becoming approved these days Ngabu-man!
Watalazimika kufanyaje au kuwa na vigezo gani ili washinde date na wewe?
 
U r becoming approved these days Ngabu-man!
Watalazimika kufanyaje au kuwa na vigezo gani ili washinde date na wewe?

Baadhi ya sifa nmezitaja hapo juu na naongeza nyingine hapa.

Wanatakiwa wawe na

-Uwezo mzuri wa kujieleza
-Kujua kuandika bila makosa ya tahajia
-Wajue kuzungumza Kiswahili fasaha na sanifu (Kiingereza kitafikiriwa pia)
-Wawe wenye upendo, ucheshi, na msingi mzuri wa maadili
 
ngumu kupata mwenye sifa zote hapo shem, sasa sema angalau nifikishe sifa ngapi hapo ndo naweza kutuna maombi nikafikiriwa?
 
Heheheee.... haya sasa. We unataka date wa nini wakati ulishasema kwamba huwezi kuwa na partner?
 
ngumu kupata mwenye sifa zote hapo shem, sasa sema angalau nifikishe sifa ngapi hapo ndo naweza kutuna maombi nikafikiriwa?

Siyo lazima huyo binti awe na hizo sifa kwa asilimia mia moja. Asilimia kati ya 65 - 85 ya hizo sifa tu ndio inahitajika. Na mshindi atabahatika kwenda kula starehe na mimi ktk visiwa vya Turks & Caicos, St. Thomas, au St. Tropez.....

Kazi kwenu akina dada. Mpira uko upande wenu.
 
Heheheee.... haya sasa. We unataka date wa nini wakati ulishasema kwamba huwezi kuwa na partner?

Wapi nilisema sitaki kuwa na "date"? Nioneshe niliposema na ntaifuta mada hii
 
Ulisema huwezi kuwa na partner bwana... ngoja niitafute hiyo thread nitaileta hapa fasta. gimme 10 mins
 
Ulisema huwezi kuwa na partner bwana... ngoja niitafute hiyo thread nitaileta hapa fasta. gimme 10 mins

Poa...naanza kuhesabu dakika hapa. Umebandika muda huu "Today 02:54 PM"

 
Baadhi ya sifa nmezitaja hapo juu na naongeza nyingine hapa.

Wanatakiwa wawe na

-Uwezo mzuri wa kujieleza
-Kujua kuandika bila makosa ya herufi
-Wajue kuzungumza Kiswahili fasaha na sanifu (Kiingereza kitafikiriwa pia)
-Wawe wenye upendo, ucheshi, na msingi mzuri wa maadili
Kwa hisia zangu naona mamangu FL kashapita. Ila best wengine wake za watu nkikuta unadundwa napita ka sijawahi kukuona!
 
Anyways, nitaitafuta taratibu and nitaiweka hapa. Ila ulisema. But sasa kama hata hupendi kulala na mtu inakuwaje ukiwa na huyo date? Manake nakumbuka vizuri ulisema unapenda kujinafasi kitandani. Huoni kama utakuwa humtendei haki date wako?
 
Back
Top Bottom