FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Poleni na majukumu ya kila leo mashostito pale tunapokuwa na jambo lazima kushare pamoja
Leo nina jambo kidogo la kushare kwa sisi ambao tunashikilia Gurudumu la ndoa mambo machache ya kukumbushana na kuelekezana,
Kumekuwa na kasumba ya kina mama wakiwa saloon au popote kwenye mikusanyiko ya kina mama ,kina dada wengi utamsikia mtu ooh mme wangu ni mwaminifu ooh mme wangu saa kumi na mbili tu yuko ndani , ananipenda na hacheat na mengineyo mengi wakati wenzio ukigeuza tu kisogo wanakucheka na kusema things happen.
Cha msingi kama unaona hilo na kujua hivyo piga goti na umshukuru mungu kwa hilo,wala usifungue mdomo kujisifia Mbele za watu .
Mifano hai,
1.Kuna dada mmewe akiwa nyumbani kwake anajali watoto ,anamjali mke,Kusoma neno la mungu na kuongoza misa ya family ni mtu ambae ukimuona utasema yes mme ninae hasa hata kumdolishia kwa watu,Lakini upande mwingine wa shilingi ambao mkewe hajui na ni mke ambae mambo ya outing ,socialization kwake hayapo ,michepuko kwa mmewe ile ya underground ni namba 1,so mkewe akiwa sehemu kwenye vikao vya kparty au walipo wanawake anajisifia watu wanasikiliza tu kwa vile walioko nje wanamjua huyu shemeji sema wanashindwa kumwambia na hawawezi kuhofia kuleta hitilafu kwenye ndoa .INATISHA
2. Jmos nikiwa Saloon kuna warembo fulani walikuwa wanapiga story zao eti ooh huyu dada akija hapa nikujisifia mme wangu mme wangu hajui kama mmewe tunakula nae sahani moja,Kumbe mmoja wa wale akina dada anatoka na huyo jamaa yuko Bank moja,na ili kuthibitisha hilo akamcall jamaa wakaahidiana akitoka saloon atapita pale amchukue waende wanapojua..VERY BAD
3.Kubwa kuliko hii niliikuta duka la nguo za kina mama kuna wadada wamepeana kazi ya kumtafuta mme wa dada mmoja kwa udi na uvumba wanasema lazima wampate hii wamepeana task kabisa mmoja akishindwa kumpata lazima mwingine ampate ,hivyo wameweka mbinu na mikakati ya kumpata huyo jamaa ,
Ni jamaa ambae eti wanadai lazima aende hapo dukani kumfanyia mkewe shopping ya nguo na sokoni sometimez anaenda yeye kufanya manunuzi ya ndani
wanadai pia mke wake ni mzuri lakini mshamba,
Pia wanadai jamaa ni Handsome na ana mshiko wa uhakika-lazima waende nae sambamba
Duh tunaenda wapi kumbe waume zetu wanatafutwa :A S 11:
Haya kina mama tunaopenda kusifia waume zetu mbele za mabinti /kinadadaa mara ooh nikiwa mjamzito ananipikia anapapasa kitumbo ananiogesha - wapo wanaowapigia speed huko
Kina mama mnaotoa siri za ndani hizo ndio silaha za kutumaliza :flame:
Mwisho kabisa wanasema sie wachoyo kwanini kula peke yetu - Tukumbuke kuziombea ndoa zetu majaribu ni meeeengi sana.
Muwe na Ijumaa njema:couch2:
Leo nina jambo kidogo la kushare kwa sisi ambao tunashikilia Gurudumu la ndoa mambo machache ya kukumbushana na kuelekezana,
Kumekuwa na kasumba ya kina mama wakiwa saloon au popote kwenye mikusanyiko ya kina mama ,kina dada wengi utamsikia mtu ooh mme wangu ni mwaminifu ooh mme wangu saa kumi na mbili tu yuko ndani , ananipenda na hacheat na mengineyo mengi wakati wenzio ukigeuza tu kisogo wanakucheka na kusema things happen.
Cha msingi kama unaona hilo na kujua hivyo piga goti na umshukuru mungu kwa hilo,wala usifungue mdomo kujisifia Mbele za watu .
Mifano hai,
1.Kuna dada mmewe akiwa nyumbani kwake anajali watoto ,anamjali mke,Kusoma neno la mungu na kuongoza misa ya family ni mtu ambae ukimuona utasema yes mme ninae hasa hata kumdolishia kwa watu,Lakini upande mwingine wa shilingi ambao mkewe hajui na ni mke ambae mambo ya outing ,socialization kwake hayapo ,michepuko kwa mmewe ile ya underground ni namba 1,so mkewe akiwa sehemu kwenye vikao vya kparty au walipo wanawake anajisifia watu wanasikiliza tu kwa vile walioko nje wanamjua huyu shemeji sema wanashindwa kumwambia na hawawezi kuhofia kuleta hitilafu kwenye ndoa .INATISHA
2. Jmos nikiwa Saloon kuna warembo fulani walikuwa wanapiga story zao eti ooh huyu dada akija hapa nikujisifia mme wangu mme wangu hajui kama mmewe tunakula nae sahani moja,Kumbe mmoja wa wale akina dada anatoka na huyo jamaa yuko Bank moja,na ili kuthibitisha hilo akamcall jamaa wakaahidiana akitoka saloon atapita pale amchukue waende wanapojua..VERY BAD
3.Kubwa kuliko hii niliikuta duka la nguo za kina mama kuna wadada wamepeana kazi ya kumtafuta mme wa dada mmoja kwa udi na uvumba wanasema lazima wampate hii wamepeana task kabisa mmoja akishindwa kumpata lazima mwingine ampate ,hivyo wameweka mbinu na mikakati ya kumpata huyo jamaa ,
Ni jamaa ambae eti wanadai lazima aende hapo dukani kumfanyia mkewe shopping ya nguo na sokoni sometimez anaenda yeye kufanya manunuzi ya ndani
wanadai pia mke wake ni mzuri lakini mshamba,
Pia wanadai jamaa ni Handsome na ana mshiko wa uhakika-lazima waende nae sambamba
Duh tunaenda wapi kumbe waume zetu wanatafutwa :A S 11:
Haya kina mama tunaopenda kusifia waume zetu mbele za mabinti /kinadadaa mara ooh nikiwa mjamzito ananipikia anapapasa kitumbo ananiogesha - wapo wanaowapigia speed huko
Kina mama mnaotoa siri za ndani hizo ndio silaha za kutumaliza :flame:
Mwisho kabisa wanasema sie wachoyo kwanini kula peke yetu - Tukumbuke kuziombea ndoa zetu majaribu ni meeeengi sana.
Muwe na Ijumaa njema:couch2: