Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,389
- 3,158
Habari
Kwa anayefahamu labda sehemu zinazotengeneza ladha za pombe? Au mfananio wa pombe?
Kwa anayefahamu labda sehemu zinazotengeneza ladha za pombe? Au mfananio wa pombe?
Asante mkuu.Misugusugu Kibaha
Asante mkuuKimara
Kwasababu ya pombe sio?Baada ya miaka kumi tz tutakuwa na tatzo kubwa sana la ugonjwa wa Figo...
Age range 17 - 40! Na hii ndio nguvu kazi ! Ni hatari
Kwasababu ya pombe sio?
Hakika.. Tena hizi pombe kali za bei rahisi! Watu wanakunywa bila viwango....mtu uwezo wa kunywa bia 5 alipe 15k hana., ila hawezi shindwa kutoa 2000 apate kisungura