Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 273
- 582
NI MCHEKESHAJI GANI AMBAYE HAWEZI KUKUCHEKESHA??
[B]Mimi ni mkojani ,nasikia tu watu wanasema anachekesha.[/B]
[B]Mimi ni mkojani ,nasikia tu watu wanasema anachekesha.[/B]
Kwahy unataka kutekenywa.? Watu mna mambo sana nyieNI MCHEKESHAJI GANI AMBAYE HAWEZI KUKUCHEKESHA??View attachment 2957932
[B]Mimi ni mkojani ,nasikia tu watu wanasema anachekesha.[/B]
Hajawahi nichekeshaKwahy unataka kutekenywa.? Watu mna mambo sana nyie
alaaWote...hakuna anayeweza kunichekesha
Huwa nacheka nikiamua,sio mtu kunichekesha
Ama huna bandamaWote...hakuna anayeweza kunichekesha
Huwa nacheka nikiamua,sio mtu kunichekesha
Huyo anaejiita mbwa1.Mkaliwenu
2. Yule anavaa kofia nyekundu anafuga mustach
Kaka huyu jamaa ashamuua mama yake kwa kumchekeshaMr Bean basi
Wewe ndaro atakufanya ulieYaani nimemcheka Steve mweusi kaulizwa picha ya Kiba akaijua kapewa 10,000
Picha nyingine kaona kavaa suti akaanza huyu wa serikali huyu
Yaani kashindwa kumjua waziri wake wa ndani?
Hapo ndio kanichekesha
Ila hakuna wachekeshaji bongo
Alikufa akiwa na miaka 84 mkuu au na wewe comedianKaka huyu jamaa ashamuua mama yake kwa kumchekesha
SeriouslyWewe ndaro atakufanya ulie
Yule ata kwanzia asubuhi hawezi kunichekesha labda anitekenyeSeriously
Mbona na waangalia
Umewaona kina Professor Hamo lakini
hakuna mkuu huyu jamaa anatakuvunja mbavuAlikufa akiwa na miaka 84 mkuu au na wewe comedian
🤣🤣😳🏃🏾♀️Kwahy unataka kutekenywa.? Watu mna mambo sana nyie
Kaka mimi joti atanikifumaniwa niona clip yake nachekaDah mimi bwana Joti huwa hanichekeshi kabisa..