Kyela Secondary walimu punguzeni adhabu kwa watoto wetu nao ni binadamu

acha kutafutiza sababu wewe..ungekuwa mtu wa kupata div 1 ungepata tu!!

Unaijua Rungwe/Tukuyu? Unaijua Isyonje? Unaijua Ngumburu? Isongole je? Kule kuna wakati joto linakua -ve. Sasa imagine mtu aliyezoea hali ya pwani halafu akae chumba hakina madirisha!! Tena Bila sweta afanye mtihani.. Sijitetei bali nimeipa 0.09% Hii sababu
 
mkuu hii habari ningefurahi kama angeipata Mh Kaponda. Maana kuna mida nae ni dikteta kwa wanafunzi.
Na ref alipotuhamisha chumba cha mtihani nakutupeleka Dh ambalo halijamalizwa.
Na baridi ya pale Rungwe/Tukuyu Ndo maana Form Six sikupata one

Where are you Kaponda save these poor Students!!

Ukilaza wako unamsingizia DEO toka hapa
 
Last edited by a moderator:
Ndugu mletada, umereport wapi hili tatizo? Sidhani kama kuleta humu JF kutasaidia kwa haraka, ni bora kama ungewataarifu viongozi wa ngazi za juu katika wilaya husika.

Nashindwa kuamini tuhuma zako kwa urahisi, inaonekana kuna kilichojificha nyuma ya pazia. Inawezekana kuna tatizo kati yako na shule husika/waalimu katika shule hiyo. Tuhuma zako katika akili ya kawaida sio rahisi kutokea, kama kuna uthibitisho wa hayo weka tuone. Hata adhabu huwa zina mipaka yake shuleni.
mkuu hakuna kilichojificha nyuma ya pazia mm sio mwenyeji wa mbeya nilienda hapo shuleni hali niliyoikuta ndo ikanilazimu kuandika haya niliwaonea huruma wadogo zangu wanaosoma hapo kwan ni mateso kwenda mbele ,ushahid ni comment za wana jf kwan wapo waliosoma na wanaosoma hapo sina chuki na mtu mkuu bali napenda maendeleo ya wadogo zetu
 
Hahahahhahaha eti ukifanya kosa dogo unapewa adhabu kubwa.

Sasa kwann ufanye hilo kosa dogo!!

Wewe umeenda kusoma embu soma tu
 
Acha unafiki watoto wenyewe wa mwendo kasi nakushauri kijana ujikite ktk masomo mengine huyawezi soma Dogo acha kushinda kwenye mitandao ya kijamii wakati ukipoteza muda wako
 
Mbonaaa hao kyeraaa hawapewi adhabu wanaguswaaa njooo swilaaa mbeyaaa nilupigwa stick 35 ,Fist day naripot xcul naingia don nalia washkaj wananiulza umepgwa stick ngap nawajibuuu huku nalia wananicheka wananambiaa ndogooo coz kuna mtuu alipgwa kazmia kamwagiwa maji kaendelezwa kipgo
 
Back
Top Bottom