KY gel kwenye mkoba wa Mpenzi wangu

Retreat

JF-Expert Member
Dec 14, 2010
229
70
Hii mada iliishawahi kuwekwa humu lakini sijui ni jukwaa gani ila niliiona ni kawaida tu, sasa yamenikuta mimi ndio nimeshtuka na kuona sio ya kawaida. Nilikuwa natafuta kitu kwenye mkoba wa mpenzi wangu, hamadi KY Gel tena ipo nusu kwenye mkopa wa mpenzi wangu. Hajui kama nimeiona maana hayupo, ila mkoba wake upo nyumbani kwangu. Nipeni ushauri nianzie wapi kumuuliza ni ya nini hiyo KY Gel?
 
Hii mada iliishawahi kuwekwa humu lakini sijui ni jukwaa gani ila niliiona ni kawaida tu, sasa yamenikuta mimi ndio nimeshtuka na kuona sio ya kawaida. Nilikuwa natafuta kitu kwenye mkoba wa mpenzi wangu, hamadi KY Gel tena ipo nusu kwenye mkopa wa mpenzi wangu. Hajui kama nimeiona maana hayupo, ila mkoba wake upo nyumbani kwangu. Nipeni ushauri nianzie wapi kumuuliza ni ya nini hiyo KY Gel?
wewe muulize alikuwa anafanyia nini hiyo KY? Nalog off
 
Hii mada iliishawahi kuwekwa humu lakini sijui ni jukwaa gani ila niliiona ni kawaida tu, sasa yamenikuta mimi ndio nimeshtuka na kuona sio ya kawaida. Nilikuwa natafuta kitu kwenye mkoba wa mpenzi wangu, hamadi KY Gel tena ipo nusu kwenye mkopa wa mpenzi wangu. Hajui kama nimeiona maana hayupo, ila mkoba wake upo nyumbani kwangu. Nipeni ushauri nianzie wapi kumuuliza ni ya nini hiyo KY Gel?




Nomba kuuliza

Ni mzanzibari ? ama mkazi wa mombasa?? Tigo inahusika hapo..
 
jamani mtaona hii mada itakavyochangiwa..................achilia mbali views kama 3789 ivi...na page 18..hehee Cameroon lives in Tanzania

labda kumjibu dada au kaka.........ayo mafuta huwa yanatumika kulainisha uke/ua kwa ajili ya kupunguza friction during sex.........
 
Mimi natumia KY gel lakini sio kwenye zile issues za Cameroon. Ni kwenye njia ya kawaida kwani inalanisha sehemu nyeti na inaondoa michubuko.

Kuhusu suala lako, kutakuwa na namna hapo. Inaweza isiwe issue ya Cameroon. Mwite umuulize.

Watakuwa wanakuchukulia, inaelekea ni mzembe wewe
 
jamani mtaona hii mada itakavyochangiwa..................achilia mbali views kama 3789 ivi...na page 18..hehee Cameroon lives in Tanzania

labda kumjibu dada au kaka.........ayo mafuta huwa yanatumika kulainisha uke/ua kwa ajili ya kupunguza friction during sex.........

Mkono wa paka, unanifanya nibase kwenye mawazo yako zaidi kuliko ya wadau wengine wanaodai mtandao wa Tigo unahusika. Maana hata nilipojaribu kusoma matumizi yake wameandika kabisa ni kwa ajili ya kulainisha uke, sasa sijui kama kuna matumizi mengine zaidi ya hayo. Ila mtaani watu wengi wanayahusisha na Tigo, hapo ndo moyo unaponidunda.
 
Mimi natumia KY gel lakini sio kwenye zile issues za Cameroon. Ni kwenye njia ya kawaida kwani inalanisha sehemu nyeti na inaondoa michubuko.

Kuhusu suala lako, kutakuwa na namna hapo. Inaweza isiwe issue ya Cameroon. Mwite umuulize.

Watakuwa wanakuchukulia, inaelekea ni mzembe wewe

Duh! Bill unaniita mi mzembe tena mkuu. Maneno yako ya mwanzo ni mazuri ila finishing yako umeniua live. Anyway nitafanyia kazi ujumbe wako nisikumind sana kumbe ni suala la kujiangalia upya kama kweli mi ni mzembe au lah! Ila najua mi si mzembe.
 
tena hasa ukisuka rasta....
KY jamani matumizi yake ni mengi sijui kwa nini watu hawajui....
zamani tulikuwa tunauliza mtoto anapatikana wapi au mtu akiwa na mimba inatokaje?Majibu yake yalikuwa tata!
 
Mi nafikili msifu tu kwa kufikisha nusu chupa hii inamanisha anayatumia na yanaumuhimu sana kwa kuwa yanapunguza kwa kiasi kikubwa hatari ya kuambukizwa HIV due to the fact that yanaongeza smoothness ya kuta Za uke na kupunguza msuguano.ILA MKOMALIE AKUAMBIE ANAYATUMIA NA NANI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom