Dawa ya kutibu Kwikwi Chukua mua mweusi Kamua upate maji yake Glasi 1Uchanganye na Kijiko 1 cha Asali safi ya nyuki unywe kutwa mara 3 kwa siku 3 inshallah atapona. Atumie Mjomba wako hiyo dawa akisha pona uje unipe maendeleo ya Dawa yangu Give me a feedback mkuu.@chamlunguWakuu nina mjomba wangu anasumbuliwa na kwikwi. Tafadhali anayejua dawa naomba anijuze. Natanguliza shukran
Achukue kijiti cha kiberiti, akiwashe, kikiwaka akizimishie kwenye glasi iliyo na maji ya kunywa ya uvuguvugu, na kisha anyanywe hayo maji.
Mkuu dawa ya kwikwi ya haraka sana ni maji ya kunywa..Wakuu nina mjomba wangu anasumbuliwa na kwikwi. Tafadhali anayejua dawa naomba anijuze. Natanguliza shukran
Mkuu dawa ya kwikwi ya haraka sana ni maji ya kunywa..
Kwanza kabisa weka maji safi ya kunywa katika chombo cha kunywea maji i.e kikombe, glass etc
Pili, hii ndiyo hatua muhimu kabisa katika matibabu...
Fanya hivi....
Wakati utakapotaka kunywa maji, usinywee ule upande wa kawaida ambao huwa tunaweka mdomo na kupata kimiminika, hapana!
Jaribu kunywea upande wa pili ambako pua yako inaelekea, wakati ukinywa utaona unainama kadiri maji yanavyozidi kuisha kwenye glass yako!
Usihofu kudondoka! Hayo ndiyo matibabu yenyewe tena yasiyo na gharama duniani hapa! Hakikisha unakunywa bila kusimama (non stop drinking).
Baada ya muda kama dakika 1 hivi, kwikwi itakatika!
NB : USIPOONA MABADILIKO TAFADHALI WAHI HOSPITALINI UONANE NA WATAALAMU.
hii njiaimenisaidia sana mimi na jamii yangu,
Ashukuriwe mwalimu wangu wa sayansi darasa la kwanza mwaka 1999.
Achukue kijiti cha kiberiti, akiwashe, kikiwaka akizimishie kwenye glasi iliyo na maji ya kunywa ya uvuguvugu, na kisha anyanywe hayo maji.
Pia anywe maji kama nusu lita huku anaziba pua ili kutokuruhusu hewa kupita akifanya hivyo kwa siku mara tatu atapona.
Mpe soda aina ya sevenaup ni bonge ya Dawa.
Wakuu nina mjomba wangu anasumbuliwa na kwikwi. Tafadhali anayejua dawa naomba anijuze. Natanguliza shukran
Unakichovya kwenye hayo maji au unafanya vipi?
Ni kweli akitumia dawa amepona haitarudia tena hiyo kwikwi mimi hiyo Dawa nimepata kwa babu yangu mjomba wake na mama yangu kwenye kitabu cha uganga MAKAH Huyo Babu yangu amefariki bado mimi mdogo mwaka 1970. Miaka 44 iliyopita.mpe tukio la kushtua palepale kwikwi inakoma - kuja kummrudia ni badae sana. nimeijaribu hii kwa wengi imefanyakazi. kwa mfano unamwambia fulani amegongwa na gari etc.
dawa ya MziziMkavu inaelekea ni suluhisho la kudumu ijaribu. hii ya kwangu haiponyeshi once and for all